Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Magufuli, Zungu warusha makombora

MagufuliAziza Masoud na Ruth Mnken, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli na Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), wamerusha kombora kwa watu wanajipitisha kutaka ubunge Ilala huku wakiwataka watafute kazi za kufanya.
Dk. Magufuli jana alikuwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa barabara za mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), pamoja na kuzindua ujenzi wa barabara ya Kariakoo Msimbazi hadi Karume yenye urefu wa kilometa moja.
Alisema kazi inayofanywa na Zungu imekuwa ikionekana na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

JK, Magufuli warusha kijembe ‘kwa Ukawa’

Rais Jakaya Kikwete amesema anaamini mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ndiye atakayeshinda katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, na kwamba vuguvuru la kisiasa linaloendelea hivi sasa ni moto wa mabua.

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEEEEEEWWZZZZ - JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASHH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..NUNUA TIKETI USIJE JILAUMU -DETAILS DROPPING SOON !

                                   ""AIN'T NO PARTY LIKE A NEW YORK PARTY""
                                                   Tuungane Tuiline Tanzania Yetu



                          
                                         UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE                          
                                     UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
                          
                                                  TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR $50
Inclusive of:
*Red Carpet Grand...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makombora ya Lissu moto

MAKOMBORA ya maneno yaliyokuwa yakitolewa na msemaji wa taarifa ya wachache bungeni, Tundu Lissu, juu ya muundo wa muungano, hati na nukuu mbalimbali za viongozi wa kitaifa yalisababisha kuvunjika kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

K Kazkazini yarusha makombora baharani

Korea Kaskazini imefyatua makombora mawili ya masafa marefu kwenda baharini eneo la pwani ya mashariki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makombora yatikisa Damascus, Syria

Msururu wa makombora yamevurumizwa katikati mwa mji wa Damascus na kuwauwa watu 12 huku hamsini wakijeruhiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yafyatua makombora

Korea kaskazini yafyatua makombora ya masafa mafupi kupinga mazoezi ya kijeshi katika peninsula ya Korea

 

9 years ago

Raia Mwema

Makombora ya masafa marefu yataondoa ufisadi

VITA inayopiganwa sasa dhidi ya ufisadi ni muhimu sana na imeleta tija kubwa.

Njonjo Mfaume

 

5 years ago

CCM Blog

KOREA KASKAZINI YAFYATUA MAKOMBORA MAWILI BAHARINI

   Korea Kaskazini imefyatua leo kile kilichoonekana kuwa ni makombora mawili ya masafa mafupi katika pwani yake ya mashariki, ikiwa ni jaribio la nne la aina hiyo katika mwezi huu wakati ulimwengu ukipambana na janga la virusi vya corona. 

Taarifa ya pamoja ya Wakuu wa Jeshi la Korea Kusini imesema makombora mawili yalifyatuliwa kuelekea mashariki kutokea mji wa bandari wa Wonsan na kuanguka katika Bahari ya Japan, inayofahamika pia kama Bahari ya Mashariki. 
Wizara ya Ulinzi ya Japan imesema...

 

9 years ago

Global Publishers

Iran yafyatua makombora karibu na manuari za Marekani

In this Thursday, Dec. 24, 2015 photo released by the U.S. Navy, guided-missile destroyer USS Bulkeley participates in a replenishment-at-sea with fleet replenishment oiler USNS John Lenthall in the Gulf of Oman. Iranian naval vessels conducted rocket tests last week near the USS Harry S. Truman aircraft carrier, the USS Bulkeley destroyer and a French frigate, the FS Provence, and commercial traffic passing through the Strait of Hormuz, the American military said Wednesday, Dec. 30, 2015 causing new tension between the two nations after a landmark nuclear deal. (Mass Communication Specialist 2nd Class M. J. Lieberknecht/ U.S. Navy via AP) MANDATORY CREDITManuari za Marekani

Marekani

Iran ilizua taharuki miongoni mwa wanajeshi wa Marekani ilipofytua makombora yake karibu na meli za kubeba mizigo na manuari za kivita ya Marekani katika bahari ya Hormuz leo.

Majaribio hayo ya makombora yake yanatarajiwa kuibua vuta ni kuvute baina ya mataifa hayo mawili miezi michache tu baada ya kutia saini makubaliano ya kinyuklia.

Iran ilifyatua makombora kadhaa takriban kilomita moja tu kutoka kwa manuari 2 za kijeshi za Marekani na Ufaransa msemaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani