Dk. Magufuli, Zungu warusha makombora
Aziza Masoud na Ruth Mnken, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli na Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), wamerusha kombora kwa watu wanajipitisha kutaka ubunge Ilala huku wakiwataka watafute kazi za kufanya.
Dk. Magufuli jana alikuwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa barabara za mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), pamoja na kuzindua ujenzi wa barabara ya Kariakoo Msimbazi hadi Karume yenye urefu wa kilometa moja.
Alisema kazi inayofanywa na Zungu imekuwa ikionekana na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Aug
JK, Magufuli warusha kijembe ‘kwa Ukawa’
10 years ago
VijimamboBREAKING NEEEEEEWWZZZZ - JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASHH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..NUNUA TIKETI USIJE JILAUMU -DETAILS DROPPING SOON !
Tuungane Tuiline Tanzania Yetu
UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE
UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR $50
Inclusive of:
*Red Carpet Grand...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Makombora ya Lissu moto
MAKOMBORA ya maneno yaliyokuwa yakitolewa na msemaji wa taarifa ya wachache bungeni, Tundu Lissu, juu ya muundo wa muungano, hati na nukuu mbalimbali za viongozi wa kitaifa yalisababisha kuvunjika kwa...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
K Kazkazini yarusha makombora baharani
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Makombora yatikisa Damascus, Syria
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Korea Kaskazini yafyatua makombora
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Makombora ya masafa marefu yataondoa ufisadi
VITA inayopiganwa sasa dhidi ya ufisadi ni muhimu sana na imeleta tija kubwa.
Njonjo Mfaume
5 years ago
CCM BlogKOREA KASKAZINI YAFYATUA MAKOMBORA MAWILI BAHARINI
Taarifa ya pamoja ya Wakuu wa Jeshi la Korea Kusini imesema makombora mawili yalifyatuliwa kuelekea mashariki kutokea mji wa bandari wa Wonsan na kuanguka katika Bahari ya Japan, inayofahamika pia kama Bahari ya Mashariki.
Wizara ya Ulinzi ya Japan imesema...
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Iran yafyatua makombora karibu na manuari za Marekani
Manuari za Marekani
Marekani
Iran ilizua taharuki miongoni mwa wanajeshi wa Marekani ilipofytua makombora yake karibu na meli za kubeba mizigo na manuari za kivita ya Marekani katika bahari ya Hormuz leo.
Majaribio hayo ya makombora yake yanatarajiwa kuibua vuta ni kuvute baina ya mataifa hayo mawili miezi michache tu baada ya kutia saini makubaliano ya kinyuklia.
Iran ilifyatua makombora kadhaa takriban kilomita moja tu kutoka kwa manuari 2 za kijeshi za Marekani na Ufaransa msemaji wa...