Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOREA KASKAZINI YAFYATUA MAKOMBORA MAWILI BAHARINI

   Korea Kaskazini imefyatua leo kile kilichoonekana kuwa ni makombora mawili ya masafa mafupi katika pwani yake ya mashariki, ikiwa ni jaribio la nne la aina hiyo katika mwezi huu wakati ulimwengu ukipambana na janga la virusi vya corona. 

Taarifa ya pamoja ya Wakuu wa Jeshi la Korea Kusini imesema makombora mawili yalifyatuliwa kuelekea mashariki kutokea mji wa bandari wa Wonsan na kuanguka katika Bahari ya Japan, inayofahamika pia kama Bahari ya Mashariki. 
Wizara ya Ulinzi ya Japan imesema...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yafyatua makombora

Korea kaskazini yafyatua makombora ya masafa mafupi kupinga mazoezi ya kijeshi katika peninsula ya Korea

 

5 years ago

Bongo5

Korea Kaskazini yasema itafanya majaribio ya makombora yake kila wiki

Korea Kaskazini itaendelea kufanya majaribio ya makombora yake, Afisa wa juu nchini humo ameiambia BBC mjini Pyongyang, ingawa jamii ya kimataifa imekuwa ikikemea majaribio hayo.

Korea na Marekani wamekuwa wakitishiana kwa maneno huku kila mmoja akionyesha silaha aliyokuwa nayo na uwezo wake.

“Tutatekeleza majaribio zaidi katika kipindi cha kila juma,kila mwezi na kila mwaka,” alieleza makamu waziri wa masuala ya kigeni Han Song-ryol alipokuwa akizungumza na mwanahabari wa BBC, John...

 

9 years ago

Global Publishers

Iran yafyatua makombora karibu na manuari za Marekani

In this Thursday, Dec. 24, 2015 photo released by the U.S. Navy, guided-missile destroyer USS Bulkeley participates in a replenishment-at-sea with fleet replenishment oiler USNS John Lenthall in the Gulf of Oman. Iranian naval vessels conducted rocket tests last week near the USS Harry S. Truman aircraft carrier, the USS Bulkeley destroyer and a French frigate, the FS Provence, and commercial traffic passing through the Strait of Hormuz, the American military said Wednesday, Dec. 30, 2015 causing new tension between the two nations after a landmark nuclear deal. (Mass Communication Specialist 2nd Class M. J. Lieberknecht/ U.S. Navy via AP) MANDATORY CREDITManuari za Marekani

Marekani

Iran ilizua taharuki miongoni mwa wanajeshi wa Marekani ilipofytua makombora yake karibu na meli za kubeba mizigo na manuari za kivita ya Marekani katika bahari ya Hormuz leo.

Majaribio hayo ya makombora yake yanatarajiwa kuibua vuta ni kuvute baina ya mataifa hayo mawili miezi michache tu baada ya kutia saini makubaliano ya kinyuklia.

Iran ilifyatua makombora kadhaa takriban kilomita moja tu kutoka kwa manuari 2 za kijeshi za Marekani na Ufaransa msemaji wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

11 years ago

BBCSwahili

Janga baharini Korea Kusini

Zaidi ya watu 300 bado hawajapatikana , wawili wamefariki na wengine 164 wameokolewa

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na bomu la Hydrogen

Korea Kaskazini kufanya jaribio la bomu la nyuklia , Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekubaliana kuiwekea vikwazo.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kuzindua dhulma za Korea Kaskazini

Umoja wa mataifa, unatarajiwa kuzindua ripoti maalum kuhusiana na dhulma za haki za binadamu zinazotekelezwa Korea Kaskazini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani