Korea Kaskazini yasema itafanya majaribio ya makombora yake kila wiki
Korea Kaskazini itaendelea kufanya majaribio ya makombora yake, Afisa wa juu nchini humo ameiambia BBC mjini Pyongyang, ingawa jamii ya kimataifa imekuwa ikikemea majaribio hayo.
Korea na Marekani wamekuwa wakitishiana kwa maneno huku kila mmoja akionyesha silaha aliyokuwa nayo na uwezo wake.
“Tutatekeleza majaribio zaidi katika kipindi cha kila juma,kila mwezi na kila mwaka,” alieleza makamu waziri wa masuala ya kigeni Han Song-ryol alipokuwa akizungumza na mwanahabari wa BBC, John...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Korea Kaskazini yafyatua makombora
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dw2vqJ_5Pms/XoBWGwQHysI/AAAAAAAC1_s/beCGf8a8NRMLwiU95yYdskHQRIe3qp7nQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KOREA KASKAZINI YAFYATUA MAKOMBORA MAWILI BAHARINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dw2vqJ_5Pms/XoBWGwQHysI/AAAAAAAC1_s/beCGf8a8NRMLwiU95yYdskHQRIe3qp7nQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Taarifa ya pamoja ya Wakuu wa Jeshi la Korea Kusini imesema makombora mawili yalifyatuliwa kuelekea mashariki kutokea mji wa bandari wa Wonsan na kuanguka katika Bahari ya Japan, inayofahamika pia kama Bahari ya Mashariki.
Wizara ya Ulinzi ya Japan imesema...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Kim Jong-un: Kutoweka kwake, siasa ya kimataifa, malengo yake na jeshi la Korea Kaskazini
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?
5 years ago
BBCSwahili03 May
Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mkuu wa UN kuzuru Korea Kaskazini
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
UN kuzindua dhulma za Korea Kaskazini
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
silaha za Korea kaskazini zazuwiwa