Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makombora yatikisa Damascus, Syria

Msururu wa makombora yamevurumizwa katikati mwa mji wa Damascus na kuwauwa watu 12 huku hamsini wakijeruhiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa Hezbollah, auawa Damascus

Kundi la Hezbollah wanasema kuwa kamanda wao Samir Qantar aliuwawa na roketi lililopiga jumba alimokuwa akiishi katika wilaya ya Jaramana Damascus

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa kukagua kambi Damascus

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka kupatiwa fursa ya kukagua kambi ya wakimbizi ya Yarmouk, Damascus

 

9 years ago

Vijimambo

Three Bedroom, specious Town House for Rent in Damascus

AVAILABLE IMMEDIATELY! VERY CLOSE TO 270, shopping Immaculate, updated 3 bedroom, 2 full and 2 half bath new kitchen appliances, hardwood floors. Basement and new washer and dryer, nicely fenced FRESH PAINT, new carpet AND MORE! CLOSE TO 270, NEW SHOPPING CENTERS, ETC.
Please call 301-693-0069 or 240-750-3645

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

Tanzania Daima

Makombora ya Lissu moto

MAKOMBORA ya maneno yaliyokuwa yakitolewa na msemaji wa taarifa ya wachache bungeni, Tundu Lissu, juu ya muundo wa muungano, hati na nukuu mbalimbali za viongozi wa kitaifa yalisababisha kuvunjika kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Magufuli, Zungu warusha makombora

MagufuliAziza Masoud na Ruth Mnken, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli na Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), wamerusha kombora kwa watu wanajipitisha kutaka ubunge Ilala huku wakiwataka watafute kazi za kufanya.
Dk. Magufuli jana alikuwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa barabara za mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), pamoja na kuzindua ujenzi wa barabara ya Kariakoo Msimbazi hadi Karume yenye urefu wa kilometa moja.
Alisema kazi inayofanywa na Zungu imekuwa ikionekana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yafyatua makombora

Korea kaskazini yafyatua makombora ya masafa mafupi kupinga mazoezi ya kijeshi katika peninsula ya Korea

 

10 years ago

BBCSwahili

K Kazkazini yarusha makombora baharani

Korea Kaskazini imefyatua makombora mawili ya masafa marefu kwenda baharini eneo la pwani ya mashariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani