Umoja wa Mataifa kukagua kambi Damascus
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka kupatiwa fursa ya kukagua kambi ya wakimbizi ya Yarmouk, Damascus
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete apongezwa Umoja wa Mataifa
UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa wakimbizi 162,156 wa Burundi.
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.
“Kifungu cha sheria...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa
10 years ago
Habarileo27 Sep
Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.
10 years ago
VijimamboTASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Mwananchi11 Dec
CAG kuongoza Bodi ya Umoja wa Mataifa
11 years ago
MichuziMWIGULU NCHEMBA ALONGA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kEfXE4PeXkM/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA UMOJA WA MATAIFA (UN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...