Dk Shein akataa kuongeza posho BLW
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amekataa maombi ya kuwaongezea posho wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW) kutoka Sh150,000 hadi Sh200,000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-LDqgsAay9Lc/Vn8HrFOuYUI/AAAAAAAAXhQ/dvfITfWhDew/s72-c/blogger-image--1712346059.jpg)
DIWANI WA CHADEMA AKATAA KUPOKEA POSHO ZA VIKAO
Diwani wa kata ya Gangilonga, Iringa Mjini kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Daddy Igogo amesema hatapokea posho za vikao vyote vya baraza la madiwani katika kipindi chake cha miaka mitano na badala yake ametaka zitumike kuwasaidia watoto wanaoshi katika mazingira magumu katika kata yake.Diwani huyo mdogo kuliko madiwani wote wa halimashauri hiyo ambaye pia ni Mwalimu katika
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Utoro BLW wakwamisha bajeti Z’bar
Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW) limekwama kukaa kama kamati ya matumizi na vikao kwa mara ya tano tangu kuanza kujadili bajeti za mwaka wa fedha 2014/15 Mei 14 mwaka huu kutokana na tatizo la wajumbe kuwa watoro wa kuhudhuria vikao.
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s72-c/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Dkt. Shein aongoza waombolezaji kwenye mazishi ya dada yake, Marehemu Fatma Shein
![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vsf68xAbpJs/VWNBRGHMgdI/AAAAAAAHZvc/LlMG9Xy7nZM/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
9 years ago
GPLMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiwahutubia Viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Mjini Unguja na kuwaomba kumpigia Kura ya Ndio Mgombea wa Urais wa CCM Dk Ali Mohamed Shein na Mgombea Urais wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli na Wagombea wote wa CCM. Mke wa Rais wa Zanzibar akiwahutubia Viongozi wa UWT wa Mkoa wa Mjini Unguja wakati wa mkutano wake wa kampeni ya kumuombea...
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Blatter akataa kujiuzulu
Rais wa shirikisho la kandada duniani FIFA Sepp Blatter amekataa wito kutoka kwa baadhi ya wafadhili wa kumtaka ajiuzulu
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Razak akataa kujiuzulu
Waziri mkuu wa Malaysia , Najib Razak, amepinga wito wa kujiuzulu kwake kufuatia madai ya ufisadi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania