Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Shein azindua Tawi la SUZA Pemba ‘Kampasi ya Ben Mkapa’

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein akikata utepe ishara ya ufunguzi wa Tawi la Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA), kilichoko Mchangamdogo, Pemba. *Asema ni hatua kubwa katika kuendeleza elimu ya juu kisiwani Pemba* Rajab Mkasaba […]

The post Dk Shein azindua Tawi la SUZA Pemba ‘Kampasi ya Ben Mkapa’ appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Dk Shein azindua tawi la Chuo kikuu cha Taifa SUZA Mchangamdogo Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kuzindua Tawi la Chuo Kikuu cha Taifa SUZA katika Chuo cha Benjamin Willium Mkapa Mchanga mdogo kaskazini Pemba leo,(kulia)Mke wa Rais Mama Mwanamwema Shein na (kushoto) Waziri wa Elimu na mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna,[Picha na Ikulu.]Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Said Mohamed Seif wakati...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dr. Shein inaugurates new SUZA campus in Pemba

Uzinduzi - i

Hon. Dr Ali Mohamed Shein, the President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council also the SUZA Chancellor cuts the ribbon to officially inaugurate the campus.

Uzinduzi -ii

Hon. Dr. Shein opens the curtains to display the inauguration plaque.

Uzinduzi - iii

Hon. Dr. Shein in a group photo with some Zanzibar government leaders during the                                                             inauguration.                                                                     

Uzinduzi - iv

One of the buildings of...

 

11 years ago

Michuzi

DKT SHEIN AZINDUA BARABARA PEMBA LEO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinuzi Dk.Ali Mohamed Shein na Kaimu Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bibi Virginia Blaser,wakikata utepe  kuzindua barabara  5 za mradi zikiwa ni Kipangani-Kangani,Chwale –Likoni,Mzambrauni Takao-Pandani,Finya-Mzambarauni,Karimu-Finya-Mapofu na Bahanasa –Daya Mtambwe,Mkoa wa Kaskazini Pemba,ambazo zimejengwa kwa ufadhili wa Mfuko wa Changamoto za Millenia MCC. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinuzi Dk.Ali Mohamed Shein na...

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Shein azindua Mradi wa Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani ,Mkoa wa Kusini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuzindua miradi ya maendeleo  Mkoani humo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akibonyeza kitufe   kuzindua Mradi wa  Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani ,Mkoa wa Kusini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuzindua miradi ya...

 

9 years ago

Habarileo

Shein: SUZA endeleeni kufanya utafiti

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, amekitaka Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (Suza), kuendelea kufanya utafiti kwa kuzingatia mahitaji yaliyopo na kuhakikisha matokeo ya utafiti, yanasambazwa kwa taasisi na sekta zinazohusika ili yatumike katika mipango ya maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ben Mkapa ampigia Pinda debe kiaina

Rais mstaafu, Benjamini Mkapa amempigia debe Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kiana akisema ni kiongozi anayekubalika kwa wananchi, hivyo wananchi wamuunge mkono kwenye nafasi yake ya sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani