Dkt.Shein Mgeni Rasmi Sherehe za "ZANZIBAR MODEN TAARAB"
![](http://2.bp.blogspot.com/-djKiCcRyJqM/U4HmQ5lV9TI/AAAAAAAFk6w/fKoAFu23muk/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akipokea album Mbili za nyimbo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kikundi cha Muzik cha "Zanzibar Modern Taarab"Abdalla Ali akiwa mgeni rassmi katika sherehe za Kikundi kutimiza Miaka 7 Tokea kuanzishwa,hata hivyo Rais amekichangia kikundi hicho Shillingi za kitanzania Millioni Nane,hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PVFXqmJpmqY/VCF-RzdHACI/AAAAAAAGlWs/9Yag1l4WlRE/s72-c/IMG_6357.jpg)
DKT. SHEIN MGENI RASMI KATIKA SHEREHE ZA ELIMU BILA MALIPO AMAAN ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-PVFXqmJpmqY/VCF-RzdHACI/AAAAAAAGlWs/9Yag1l4WlRE/s1600/IMG_6357.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-alrf19HmXGE/VCF-PzQCHoI/AAAAAAAGlWg/J0qLoGwqA2g/s1600/IMG_6412.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hNdvsKdozMc/VJgvFmOAyAI/AAAAAAAG5E4/qXIGm4h0Ar8/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
DKT. SHEIN KUWA MGENI RASMI MASHINDANO YA KITAIFA YA RIADHA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika mashindano ya Kitaifa ya Riadha ya wilaya ambayo yanatarajiwa kufanyika katika kiwanja cha Amaani Disemba 26-27 mwaka huu.
Mashindano hayo yaliyodhaminiwa na Rais Shein kwa lengo la kukuza sekta ya michezo nchini yametayarishwa na Baraza la michezo la Taifa Zanzibar (BMTZ) kwa kushirikiana na chama cha Riadha (ZAAA) Hayo yameelezwa leo na...
11 years ago
MichuziDKT. SHEIN MGENI RASMI KATIKA HAFLA YA CHAKULA CHA MCHANA KWA WAPIGANAJI WALIOFANIKISHA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MAPINDUZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BlnF7IRNDdk/UwjUfV6WhyI/AAAAAAAFOtw/a2LeefdQO6w/s1600/TA1A4980.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D3lU1L5MZaU/VIhFlg6k4QI/AAAAAAAG2Wk/-qGwSOdPDLc/s72-c/dr_shein.jpg)
DKT. SHEIN KUWA MGENI RASMI UTOAJI TUZO ZA TASWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D3lU1L5MZaU/VIhFlg6k4QI/AAAAAAAG2Wk/-qGwSOdPDLc/s1600/dr_shein.jpg)
Tuzo hizo zinaandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na mwaka huu zimedhaminiwa na Selcom Wireless, Said Salim Bakhresa & Co Ltd - Bakhresa Group, IPTL, mifuko ya hifadhi ya jamii, PSPF na NSSF.
TASWA inaishukuru Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ushirikiano wake na kukubali Rais Dk. Shein...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s72-c/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Ruvuma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-yjH2Bp9dIIM/VT_xeRs3SqI/AAAAAAAC3wo/OrNyTmsmGSg/s1600/Dr-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2015 ambazo Kitaifa zinafanyika Mkoani Ruvuma.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waizri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wakati wa mazoezi ya ya mwisho yaliyofanyika katika Uwanja wa mpira wa Majimaji mjini Songea.
Waziri Fenella amesema kuwa maandalizi yameenda vizuri na kuwataka wananchi kujitokeza...
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Dkt. Shein mgeni rasmi uzinduzi wa mbio za Mwengi wa Uhuru mkoani Ruvuma
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/310.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Dec
RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR. ALI MOHAMMED SHEIN MGENI RASMI TUZO ZA TASWA USIKU HUU
![0001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0001.jpg)
![003](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0031.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein mgeni rasmi tuzo za TASWA usiku wa kuamkia leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dr. Ali Mohammed Shein akikabidhi tuzo ya heshima ya mwanamichezo bora wa mwaka kwa Mama Fatma Karume Mjane wa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Marehemu Mzee Abeid Amani Karume iliyotolewa na Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Usiku huu, Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA Bw. Juma Pinto.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...
10 years ago
Vijimambo11 Nov
Taarab Rasmi kuadhimisha miaka minne ya Uongozi wa Dk Shein.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/1a.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/2a1.jpg)