DMF NA TIKA WATOA MSAADA WA FUTARI KWA KAYA 150 WILAYANI BAGAMOYO, PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-bS_XTrq8F6E/XsVFoQHc0pI/AAAAAAALrAI/LCzO9gAIXOMbTGggQZu2zjocO_lEHk6AACLcBGAsYHQ/s72-c/dm.jpg)
Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa Watoto Njiti nchini,Doris Mollel (wa pili kulia) akimkabidhi Mzee Rajabu Nyaza msaada wa futari waliyoitoa kwa kaya 150 za Kata ya mbili za wilaya ya Bagamoyo (Kiromo na Kitopeni) kwa kushirikiana na Shirika la Uratibu wa Maendeleo la Uturuki (TIKA) ikiwa ni lengo la kuwafikia baadhi ya waumini wa kiislamu wenye uhitaji maalumu katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. wa pili kushoto ni Mbunge wa Bagamoyo, Dkt Shukuru Kawambwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA CHILDBIRTH SURVIVAL INTERNATIONAL WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KAYA ZAIDI YA 50 JIJINI DAR
Mkurugenzi wa Shirika la Childbirth Survival International (CSI),nchini Tanzania Stella Mpanda(katikati) akitoa msaada wa vyakula kwa moja ya wakazi wa Kata ya Mazizini jijini Dar es Salaam leo Mei 2 mwaka 2020.Msaada huo ni kwa ajili ya kuziwezesha kaya za watu wasiojiweza katika kipindi hiki cha janga la Corona.Kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mazizini Mussa Komba.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mazizini Mussa Komba akikabidhi msaada wa vyakula kwa mwaanchi wa Kata ya Mazizini...
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUGHE PWANI WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
Baadhi ya wananchi Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani wamekosa makazi ya kuishi kutokana na nyumba zao pamoja na maduka kuzingirwa na maji ikiwemo wengine kukumbwa na changamoto ya mazao yao mbali mbali zaidi ya hekta 4000 kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha maafa hayo ambayo yamepelekea wananchi kuishi katika mazingira magumu hivyo kupelekea kuishi katika mazingira magumu.
Hayo yalibainishwa na wananchi hao wakati wa ziara ambayo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-64PVOQ0l7ZM/VdcJ9PYiUjI/AAAAAAAHy1A/okber-teRvs/s72-c/photo1.jpg)
MARAFIKI WA WAFANYE WATABASAMU WATOA MSAADA KWA WATOTO WA AMANI ORPHANAGE CENTRE, BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-64PVOQ0l7ZM/VdcJ9PYiUjI/AAAAAAAHy1A/okber-teRvs/s640/photo1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgCGcQVhj8M/VdcJ9hmDS6I/AAAAAAAHy1M/X-WaMtyS57k/s640/photo2.jpg)
11 years ago
GPLBANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE YA MSINGI MIONO, CHALINZE PWANI
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA BANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE YA MSINGI MIONO, CHALINZE PWANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ciywewNmzfo/XnVU8uKgzQI/AAAAAAALklk/nG3lxTS7miQyKwpOvhT8GFVXFOgBqnEJACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 51 TOKA ETHIOPIA WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NuX3TFUlpjE/XnWq4LxCXBI/AAAAAAALkmU/55_g28YjvKc4HGXcykWXKOtUYkGS6SumQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU WAPATAO 51 WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI,WAPIMWA CORONA
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata Wahamiaji haramu 51 walioingia nchini kupitia bandari bubu ya ya Makurunge Tarafa ya Yombo Wilayani Bagamoyo Mkoani hapa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...