Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DUDE ASHINDWA KUJIUNGA BONGO MOVIE

Na Gladness Mallya KUTOKANA na mgogoro unaoendelea ndani ya Klabu ya Bongo Movie Unity, msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kwamba amekwama kujiunga na klabu hiyo japo alikuwa kwenye utaratibu huo. Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ akiwa ndani ya ofisi za Global. Akistorisha na paparazi wetu, Dude alisema baada ya kuona ushirikiano waliokuwa wakionesha wanachama wa Bongo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)

Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]

The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Bongo5

Wasanii wa Bongo Movie wanaishi ‘Ki Bongo Flava’ – Nikki wa Pili

Msanii wa hip hop kutoka Weusi, Nikki wa Pili, ametia neno katika sakata linaloendelea la kupigwa marufuku kwa filamu za nje kwa madai zinaingizwa bila kulipiwa kodi hali ambayo imesababisha kuwa nyingi na kuzinyima filamu za ndani nafasi ya kufanya vizuri sokoni.

Hatua hiyo imekuja baada ya siku ya Jumatano wiki hii baadhi ya wasanii wa filamu nchini kuandamana wakiwa na Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Paul Makonda, kupinga filamu hizo ambapo RC huyo alipiga marufuku filamu hizo huku akitaka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva

Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu  wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao

“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni  mbali  hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...

 

10 years ago

Bongo5

PAPASO: Florah Mvungi adai Bongo Movie hawapendani na AT asema Bongo Fleva imejaa majungu tupu

Muigizaji wa filamu za Bongo ambaye naye ameingia kwenye Bongo Fleva, Florah Mvungi a.k.a H.Mama na msanii wa muziki wa mduara AT ambao hivi karibuni wametoa wimbo wa pamoja ‘Mkazurule’ , walikuwa wageni kwenye kipindi cha Papaso kupitia TBC Fm. Miongoni mwa vitu ambavyo Florah ambaye pia ni mke wa H.Baba alivisema ni kuwa waigizaji […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Bongo DSM: Monalisa Ndani-Dude

Mwigizaji na mwongozaji wa filamu, Kulwa Kikumba  ‘Dude’ ambae ni mmiliki na mwigizaji igizo la Bongo Dar-es-salaam ambalo  hurushwa kwenye runinga, amemtaja mwigizaji Yvonne-Sheryl Ngatikwa 'Monalisa’ kuwa ni moja kati ya wakali watakaoshiriki kwenye kipindi hicho kwa msimu huu.

Kitendo cha kumuongeza monalisa kwenye timu ya Bongo DSM kimewafurahisha wengi na kuongeza hamasa kubwa miongoni mwa wapenzi wengi wa kipindi hicho ambacho kilijizolea umaarufu mkubwa miaka ya zaidi ya mitatu...

 

11 years ago

GPL

DUDE AWATOA NISHAI BONGO MUVI

Stori:Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amewatoa nishai viongozi wa Bongo Muvi kwa kueleza kuwa, risala iliyosomwa siku ya ‘bethidei’ yao ya kutimiza miaka mitatu imepotosha ukweli. Staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Dude alisema ameshangaa kusikia kwenye risala hiyo kuwa waanzilishi wa umoja huo ni Kanumba, Sajuki,...

 

10 years ago

CloudsFM

JAY MOE ASHINDWA KUTOA ALBAM KISA KUKOSA MWAMKO WA ALBUM ZA BONGO FLEVA HIVI SASA.

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva Jay Moe,ambaye alikuwa kimya kwa kipindi kirefu mara ya mwisho alikuwa na deni kwa mashabiki wake la Mchongo wa deni la Album ya Mocumental. Album hiyo ilikuwa itoke zaidi ya miaka 3 iliyopita yaani kabla hata album hazijaanza kubuma kuuzika,Jay moe kila alipokuwa akiiulizwa kuhusu albam hiyo hakuawa na majibu sahihi lakini ameamua kufunguka kuwa sababu ni kukosa mwamko katika uuzaji wa albamu za muziki wa Bongo Fleva.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani