Duh.......Cheki thamani ya "dolari" ya Zimbabwe kwa dola moja ya Marekani
![](http://1.bp.blogspot.com/-thcW9dlQuvI/VX3D-_hkKbI/AAAAAAAAIy0/Jo4zjjuzOc0/s72-c/Zimbabwe%2Bvs%2BUS%2524.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Thamani ya Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani mil 1.2
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akiangalia moja ya mashine zinazotumika katika shughuli za uchimbaji madini katika eneo la Mirelani mkoani Manyara wakati alipotembelea eneo hilo mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.
Chambo akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya...
11 years ago
Michuzi17 May
OFISI ndogo ya Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania leo imetialiana saini na Chama cha kupunguza Matumizi ya Silaha na Maridhiano cha Jamhuri ya Watu wa China (Chinese Peoples’ Association for Peace and Disarmament) wenye thamani ya dola laki moja z
![](https://2.bp.blogspot.com/-xGKFYr6M3Vw/U3Yi_zPEPRI/AAAAAAACxu8/b8uEJvsq1Dk/s1600/PIX+8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gf8ld-CfOBQ/U3Yi_K89ekI/AAAAAAACxvE/AHGr6S4pvlo/s1600/PIX+7.jpg)
11 years ago
Habarileo29 Jan
TICTS yasitisha malipo kwa dola za Marekani
KAMPUNI ya Kupakua na Kupakia Kontena Bandarini (TICTS) imesitisha uamuzi wake wa kufanya malipo yote kwa dola za Marekani, uliokuwa uanze wiki hii.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAqZ6B7r8QfmOJ6rnzj6Rc00qdlWJdr6NoOpZF5UUF2YKeV5qpkADFetCByV-K2e2nvvJb-6mojckVEgvfUhCCb/Tapeli.jpg)
ATAPELI KWA KUTUMIA DOLA ZA MAREKANI, ACHEZEA KICHAPO
10 years ago
Mwananchi03 May
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana, kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
10 years ago
VijimamboWHO YATOA VIFAA VYA DOLA ZA MAREKANI 46,000 KWA SERIKALI YA TANZANIA KUJIAMI NA EBOLAâ€
10 years ago
VijimamboMAREKANI YATOA DOLA BILIONI 30 KWA AJILI YA KULINDA MAZINGIRA, KUKUZA UHIFADHI NA UTALII
Serikali iya Marekani...