Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Thamani ya Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani mil 1.2

picha mbiliKatibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akiangalia moja ya mashine zinazotumika katika shughuli za uchimbaji madini katika eneo la Mirelani mkoani Manyara wakati alipotembelea eneo hilo mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.picha mojaChambo akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani milioni 1,207,990


Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa pili kulia) akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya Tanzanite katika eneo la Mirelani mkoani Manyara mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.Kulia kwake ni Afisa Madini Mkazi katika Ofisi ya Madini Mirelani, Mhandisi Henry Mditi.Katibu Mkuu Wizara ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Chambo ataja thamani ya Tanzanite iliyokamatwa

Omar-ChamboTERESIA MHAGAMA NA ASTERIA MUHOZYA

KATIBU Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini, Omar Chambo, amesema Tanzanite iliyokamatwa wakati ikitoroshwa kwenda nje ya nchi Desemba 15 mwaka huu kupitia Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA), imefikia thamani ya Dola za Marekani milioni 1.2

Chambo aliyasema hayo jijini Arusha jana wakati wa kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara, zinazodhibiti utoroshaji wa madini kwa pamoja.

“Tanzanite hiyo ghafi yenye uzito wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Tanzanite ya bil 2/- yakamatwa KIA

tanzaniteNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

WIZARA ya Nishati na Madini imekamata vipande 264 vya madini aina ya Tanzanite yenye thamani ya Sh bilioni 2.5 katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA).

Kukamatwa kwa madini hayo kulielezwa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalamani, katika mahojiano yake na MTANZANIA Jumamosi.

“Madini hayo yalikamatwa na Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA) ambapo raia wa India, Jain Anarugi, alitaka kuyasafirisha nje ya nchi hivi karibuni lakini sasa...

 

5 years ago

Michuzi

KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3




………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...

 

9 years ago

StarTV

Utoroshaji Nyara Za Serikali, Tanzanite  Maafisa sita KIA, askari matatani  

 

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla ameagiza kusimamishwa kazi maafisa sita wa idara ya usalama katika uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA pamoja na askari mmoja wa kituo kidogo cha polisi cha KIA sanjenti Edward Myaga baada ya kuhusishwa na tuhuma za kushirikiana na watoroshaji wa nyara za Serikali na madini aina ya Tanzanite yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 2.

Maafisa waliosimamishwa kazi ni pamoja na Kefa Langia, Tumaini Mkojera, Recho Shayo na Debora Komba.

Wengine ni Frank...

 

11 years ago

Mwananchi

Mizigo ya DRC yafikia tani 1 mil

Uingizaji wa mizigo kwa wafanyabiashara wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) kupitia Bandari ya Dar es Salaam umeongezeka kutoka tani 176,000 mwaka 2004 hadi tani 1.17 milioni mwishoni wa mwaka 2013.

 

10 years ago

Vijimambo

WATATU WAKAMATWA NA DOLA FEKI ZENYE THAMANI YA MILIONI 20

Dola bandia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa Dola Feki za kimarekani. Picha na Elizabeth Kilindi, Tanga.Na Elizabeth Kilindi, TANGA

WATU watatu wanaojishughulisha na biashara ya uuzaji wa noti bandia mkoani Tanga wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakiwa na dola za kimarekani zenye thamani ya 11200 ambazo ni sawa na shilingi milioni 20 za Kitanzania.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Fresser Kashai aliwaambia waandishi wahabari...

 

5 years ago

BBCSwahili

Saniniu Laizer atambulika kuwa bilionea baada ya kupata mawe ya Tanzanite yenye thamani ya mabilioni ya shilingi

Mtanzania Saniniu Lazier ambaye ni mchimbaji madini mdogo amepata madini ya Tanzanite ambayo ya thamani ya bilioni 7.8.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani