Thamani ya Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani mil 1.2
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akiangalia moja ya mashine zinazotumika katika shughuli za uchimbaji madini katika eneo la Mirelani mkoani Manyara wakati alipotembelea eneo hilo mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.
Chambo akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani milioni 1,207,990
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Chambo ataja thamani ya Tanzanite iliyokamatwa
TERESIA MHAGAMA NA ASTERIA MUHOZYA
KATIBU Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini, Omar Chambo, amesema Tanzanite iliyokamatwa wakati ikitoroshwa kwenda nje ya nchi Desemba 15 mwaka huu kupitia Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA), imefikia thamani ya Dola za Marekani milioni 1.2
Chambo aliyasema hayo jijini Arusha jana wakati wa kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara, zinazodhibiti utoroshaji wa madini kwa pamoja.
“Tanzanite hiyo ghafi yenye uzito wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-thcW9dlQuvI/VX3D-_hkKbI/AAAAAAAAIy0/Jo4zjjuzOc0/s72-c/Zimbabwe%2Bvs%2BUS%2524.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Tanzanite ya bil 2/- yakamatwa KIA
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WIZARA ya Nishati na Madini imekamata vipande 264 vya madini aina ya Tanzanite yenye thamani ya Sh bilioni 2.5 katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA).
Kukamatwa kwa madini hayo kulielezwa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalamani, katika mahojiano yake na MTANZANIA Jumamosi.
“Madini hayo yalikamatwa na Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA) ambapo raia wa India, Jain Anarugi, alitaka kuyasafirisha nje ya nchi hivi karibuni lakini sasa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0125-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0126-1024x682.jpg)
………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...
9 years ago
StarTV23 Dec
Utoroshaji Nyara Za Serikali, Tanzanite  Maafisa sita KIA, askari matatani Â
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla ameagiza kusimamishwa kazi maafisa sita wa idara ya usalama katika uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA pamoja na askari mmoja wa kituo kidogo cha polisi cha KIA sanjenti Edward Myaga baada ya kuhusishwa na tuhuma za kushirikiana na watoroshaji wa nyara za Serikali na madini aina ya Tanzanite yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 2.
Maafisa waliosimamishwa kazi ni pamoja na Kefa Langia, Tumaini Mkojera, Recho Shayo na Debora Komba.
Wengine ni Frank...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Mizigo ya DRC yafikia tani 1 mil
10 years ago
VijimamboWATATU WAKAMATWA NA DOLA FEKI ZENYE THAMANI YA MILIONI 20
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa Dola Feki za kimarekani. Picha na Elizabeth Kilindi, Tanga.
WATU watatu wanaojishughulisha na biashara ya uuzaji wa noti bandia mkoani Tanga wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakiwa na dola za kimarekani zenye thamani ya 11200 ambazo ni sawa na shilingi milioni 20 za Kitanzania.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Fresser Kashai aliwaambia waandishi wahabari...
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Saniniu Laizer atambulika kuwa bilionea baada ya kupata mawe ya Tanzanite yenye thamani ya mabilioni ya shilingi