Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chambo ataja thamani ya Tanzanite iliyokamatwa

Omar-ChamboTERESIA MHAGAMA NA ASTERIA MUHOZYA

KATIBU Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini, Omar Chambo, amesema Tanzanite iliyokamatwa wakati ikitoroshwa kwenda nje ya nchi Desemba 15 mwaka huu kupitia Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA), imefikia thamani ya Dola za Marekani milioni 1.2

Chambo aliyasema hayo jijini Arusha jana wakati wa kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara, zinazodhibiti utoroshaji wa madini kwa pamoja.

“Tanzanite hiyo ghafi yenye uzito wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Thamani ya Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani mil 1.2

picha mbiliKatibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akiangalia moja ya mashine zinazotumika katika shughuli za uchimbaji madini katika eneo la Mirelani mkoani Manyara wakati alipotembelea eneo hilo mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.picha mojaChambo akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya...

 

9 years ago

Michuzi

Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani milioni 1,207,990


Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa pili kulia) akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya Tanzanite katika eneo la Mirelani mkoani Manyara mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.Kulia kwake ni Afisa Madini Mkazi katika Ofisi ya Madini Mirelani, Mhandisi Henry Mditi.Katibu Mkuu Wizara ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Saniniu Laizer atambulika kuwa bilionea baada ya kupata mawe ya Tanzanite yenye thamani ya mabilioni ya shilingi

Mtanzania Saniniu Lazier ambaye ni mchimbaji madini mdogo amepata madini ya Tanzanite ambayo ya thamani ya bilioni 7.8.

 

5 years ago

Michuzi

MCHIMBAJI MDOGO WA MADINI YA TANZANITE KUTAMBULIWA RASMI KUWA BILIONEA BAADA YA KUPATA MAWE MAWILI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 7.8

Mawe makubwa mawili ya Tanzanite moja lina kilo 9.2 ambalo lina thamani ya shilingi bilioni 4.5 na la pili lina kilo 5.8 lenye thamani shilingi bilioni 3.3.Afisa Madini akionyesha moja ya jiwe la Tanzanite lilipatikana
 Katibu Mkuu Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema  kuwa leo Wizara inamtabua Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Bw. Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata  mawe  makubwa mawili yenye thamani ya shilingi  bilioni 7.8. Katibu Mkuu amesema kuwa mchimbaji...

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.


The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...

 

10 years ago

Mwananchi

Barabara zetu ni ajali tosha, madereva ni chambo tu!

Unaweza kuwa umekaa mahali fulani, lakini kichwani ukiogopa kusafiri kutokana na mfululizo wa ajali za barabarani zilizotokea hivi karibuni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazazi wamtumia mwana wao kama 'chambo'

Maafisa wa polisi kusini wa jimbo la Kerala nchini India wamemkamata mama na baba wa kambo wa msichana mmoja kwa madai ya kumlazimisha kufanya biashara ya ngono kwa kipindi cha miaka miwili.

 

9 years ago

Michuzi

Serikali kuanza kutumia Nguzo za Zege Utoaji Tenda uzingatie sifa stahiki: Chambo

Wizara ya Nishati na Madini kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) iko mbioni kuanza kutumia Nguzo za kusambazia Umeme za Zege ili kuondokana na nguzo za miti ambazo zina changamoto kadhaa ikiwa ni pamoja na kuvunjika, kuoza kwa kuliwa na wadudu na kuanguka hivyo kusababisha usumbufu kwa wananchi kukosa huduma muhimu ya umeme.
Hayo yalielezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo alipokutana na Ujumbe kutoka Ujerumani Ofisini kwake hivi karibuni jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani