Mizigo ya DRC yafikia tani 1 mil
Uingizaji wa mizigo kwa wafanyabiashara wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) kupitia Bandari ya Dar es Salaam umeongezeka kutoka tani 176,000 mwaka 2004 hadi tani 1.17 milioni mwishoni wa mwaka 2013.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Licha ya kupata mwekezaji; Usafirishaji mizigo waporomoka kutoka tani 1.4 milioni hadi 200,000
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Thamani ya Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani mil 1.2
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akiangalia moja ya mashine zinazotumika katika shughuli za uchimbaji madini katika eneo la Mirelani mkoani Manyara wakati alipotembelea eneo hilo mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.
Chambo akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HFELt3bAk6E/VMl3MRx0G0I/AAAAAAAACnA/El8ROLoVekA/s72-c/Blue%2BFlyier.png)
USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HFELt3bAk6E/VMl3MRx0G0I/AAAAAAAACnA/El8ROLoVekA/s1600/Blue%2BFlyier.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJA6h*SaGxqh6X31ZRZzXdQe5H7Yxsd7u0rvjtr5Cf*7wBPHT9v8ZiLlJ6aK6IdLnbhVzQWm0tZ0GEGO6EsOXOMs/gojwa.jpg?width=650)
GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0125-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0126-1024x682.jpg)
………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
JB:Tukikutna Tena Nitaweka Mil 10, Ray Aweke Mil 3!
“Kijana shupavu mjukuu wa Kigosi, bado sijamuona. Habari njema aliweka million yake ili ale million mbili, biashara nzuri sana hii nimeshakula mil 2 zako.sasa nakupa offer. tukikutana safari hii weka milion tatu naweka milion kumi. Lazima nikuvutie maana nimeambiwa hutaki tena changamka hutaki kukomboa hela zako???”-JB abandika andiko hili mtandaoni baada ya kuweka picha ya Ray.
Ray bado ajapatikana kujibu hii. Dah kufungwa noma sana.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
GPLYANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-