TICTS yasitisha malipo kwa dola za Marekani
KAMPUNI ya Kupakua na Kupakia Kontena Bandarini (TICTS) imesitisha uamuzi wake wa kufanya malipo yote kwa dola za Marekani, uliokuwa uanze wiki hii.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Jan
TICTS yakataa malipo kwa Shilingi
KAMPUNI ya Kuhudumia Kontena Bandarini (TICTS), imepiga marufuku wateja wake kulipa kwa Shilingi kuanzia Jumatatu na kutaka walipe kwa dola ya Marekani. Aidha, imeagiza wateja hao kufanya malipo hayo kupitia tawi la benki moja pekee katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo30 Jan
TICTS marufuku kudai dola
WIZARA ya Fedha imeipiga marufuku Kampuni ya Kuhudumia Kontena Bandarini (TICTS), kulazimisha wateja kulipia huduma kwa dola ya Marekani. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alisema Dar es Salaam jana kuwa Wizara imeamuru kufutwa kwa masharti yanayolazimisha wateja kulipia huduma kwa fedha za kigeni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAqZ6B7r8QfmOJ6rnzj6Rc00qdlWJdr6NoOpZF5UUF2YKeV5qpkADFetCByV-K2e2nvvJb-6mojckVEgvfUhCCb/Tapeli.jpg)
ATAPELI KWA KUTUMIA DOLA ZA MAREKANI, ACHEZEA KICHAPO
10 years ago
Mwananchi03 May
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-thcW9dlQuvI/VX3D-_hkKbI/AAAAAAAAIy0/Jo4zjjuzOc0/s72-c/Zimbabwe%2Bvs%2BUS%2524.jpg)
10 years ago
VijimamboWHO YATOA VIFAA VYA DOLA ZA MAREKANI 46,000 KWA SERIKALI YA TANZANIA KUJIAMI NA EBOLAâ€
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana, kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
10 years ago
VijimamboMAREKANI YATOA DOLA BILIONI 30 KWA AJILI YA KULINDA MAZINGIRA, KUKUZA UHIFADHI NA UTALII
Serikali iya Marekani...
10 years ago
GPLWHO YATOA VIFAA VYA DOLA ZA MAREKANI 46,000 KWA SERIKALI YA TANZANIA KUJIAMI NA EBOLA