Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TICTS marufuku kudai dola

WIZARA ya Fedha imeipiga marufuku Kampuni ya Kuhudumia Kontena Bandarini (TICTS), kulazimisha wateja kulipia huduma kwa dola ya Marekani. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alisema Dar es Salaam jana kuwa Wizara imeamuru kufutwa kwa masharti yanayolazimisha wateja kulipia huduma kwa fedha za kigeni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

TICTS yasitisha malipo kwa dola za Marekani

KAMPUNI ya Kupakua na Kupakia Kontena Bandarini (TICTS) imesitisha uamuzi wake wa kufanya malipo yote kwa dola za Marekani, uliokuwa uanze wiki hii.

 

10 years ago

Michuzi

POLISI YAPIGA MARUFUKU MAANDAMANO YA VIJANA WA CUF,WATAKAO ANDAMANA NGUVU YA DOLA ITATUMIKA

Na Chalila Kibuda.


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia maandamano ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF) na kusema watakaoandamana

kesho  nguvu ya dola itatumika


Akizungumza na waandishi wa habari leo,Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Kamishina wa Jeshi la Polisi (CP),Suleiman Kova amesema wamewashauri vijana hao na kusema wataandamana hivyo ni lazima nguvu itumike kuzima maandamano hayo kutokana na kuzuia kufanyika kwa shughuli...

 

5 years ago

Michuzi

KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI


Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha


Na Ahmed Mahmoud Arusha

CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.

Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TICTS yaimarisha huduma zao

MENEJA wa Operesheni katika kitengo kinachoshughulikia upakuaji na upakiaji wa makontena bandarini (TICTS), Donald Talawa amesema majukumu ya kitengo hicho yameimarika zaidi baada ya kupata vifaa vya kisasa vyenye thamani...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

TICTS Donates Sh16 Million Textbooks


TICTS Donates Sh16 Million Textbooks
AllAfrica.com
AS part of its Corporate Social Responsibility (CSR), the Tanzania International Container Terminal Services Limited (TICTS) has donated textbooks worth 16m/- to Mivinjeni Primary School, in a bid to create and improve learning environment. Mivinjeni ...

 

11 years ago

Habarileo

TICTS yakataa malipo kwa Shilingi

KAMPUNI ya Kuhudumia Kontena Bandarini (TICTS), imepiga marufuku wateja wake kulipa kwa Shilingi kuanzia Jumatatu na kutaka walipe kwa dola ya Marekani. Aidha, imeagiza wateja hao kufanya malipo hayo kupitia tawi la benki moja pekee katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

TICTS FAMILY DAY YANOGA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini - Tanzania International Container Terminal (Ticts), Paul Wallace (kulia) akimkabidhi zawadi kwa timu kapteni wa timu ya Operations ambao waliibuka kidedea dhidi ya Workshop kwa kunyakua makombe yote katika michezo mbali mbali iliyochezwa katika Bonanza la Siku ya Familia iliyofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya Kiota cha Kunduchi Wet and Wild jijini Dar es Salaam. Lengo la Siku hiyo ilikuwa ni kuwakutanisha wafanyakazi na...

 

9 years ago

Michuzi

TICTS yaipongeza TPA kwa mageuzi yanayofanyika bandari

Uongozi wa kitengo cha kimataifa cha makasha (TICTS) umepongeza juhudi zinazoendelezwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) za kuimarisha bandari ya Dar es Salaam.  Akiongea wakati wa kukaribisha kuwasili kwa meli kubwa kabisa kuwahi kufika katika bandari hiyo, Afisa Mkuu Mtendaji (CEO) wa TICTS, Bw. Bw. Paul Wallace aliuita ujio huo kuwa wa muhimu sana kwa maendeleo ya bandari hapa nchini.  “Tunaona maendeleo makubwa ya kiutendaji katika bandari yanayopelekea mashirika makubwa kama Maersk...

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe achachamaa, amng’ang’ania bosi TICTS

Dk Harison Mwakyembe.MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya ushushaji mizigo bandarini (TICTS), Paul Wallace na menejimenti yake wanatakiwa kufika leo saa 2:00 asubuhi ofisini kwa Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kutoa maelezo kwa kukiuka Sheria na kutumia viwango vya ubadilishaji fedha za kigeni, tofauti na vile vinavyoelekezwa na Benki Kuu Tanzania (BoT).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani