TICTS yakataa malipo kwa Shilingi
KAMPUNI ya Kuhudumia Kontena Bandarini (TICTS), imepiga marufuku wateja wake kulipa kwa Shilingi kuanzia Jumatatu na kutaka walipe kwa dola ya Marekani. Aidha, imeagiza wateja hao kufanya malipo hayo kupitia tawi la benki moja pekee katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jan
TICTS yasitisha malipo kwa dola za Marekani
KAMPUNI ya Kupakua na Kupakia Kontena Bandarini (TICTS) imesitisha uamuzi wake wa kufanya malipo yote kwa dola za Marekani, uliokuwa uanze wiki hii.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani Shilingi inahujumiwa na Mabenki?
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani
Shilingi inahujumiwa na Mabenki? – Zitto Kabwe[1]
Katika ukurasa wangu wa facebook mnamo tarehe 25 Aprili 2015 niliandika kuhusu sababu za shilingi kuporomoka thamani na majawabu ya namna ya kurejesha thamani halisi ya sarafu yetu. Nilieleza “Shilingi kuporomoka dhidi ya dola na kuvuka 1$/2000TS kunasababishwa na sababu kadhaa 1) Woga wa uchaguzi na hivyo Dola nyingi kutoingia nchini (FDI etc) kusikilizia Serikali ijayo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S0-FuoU3jg4/VffcrdtFPQI/AAAAAAAH47Q/G9sxJeM-E2w/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
TICTS yatoa Tshs 3m/- kufanikisha shughuli za wiki ya Nenda kwa usalama barabarini kwa Mkoa wa Kipolisi Temeke
![](http://3.bp.blogspot.com/-S0-FuoU3jg4/VffcrdtFPQI/AAAAAAAH47Q/G9sxJeM-E2w/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9wFSiS6if88/VffcrZDFoJI/AAAAAAAH47M/-NaEHp3-bI4/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
9 years ago
MichuziTICTS yaipongeza TPA kwa mageuzi yanayofanyika bandari
5 years ago
MichuziTICTS YAKABIDHI VIFAA VYA THAMANI YA MILIONI 182/- KWA WIZARA YA AFYA, MGANGA MKUU WA SERIKLI ATOA SHUKRANI KWA SEKTA BINAFSI
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
TICTS yakabidhi msaada wa vitabu kwa shule ya msingi Mivinjeni jijini Dar
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/215.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Green Waste Pro Ltd wakamilisha kampeni ya usafi kwa ufanisi, TICTS nao washiriki
Baadhi ya wafanyakazi Kampuni ya Kupakua na Kupakia Kontena Bandarini (TICTS) wakiwasili kwenye ufukwe wa bahari ya hindi maeneo Kata ya Kivukoni kwa ajili ya kushiriki zoezi la kusafisha fukwe hizo katika kuhitimisha kampeni usafi iliyokuwa ikiendeshwa na Kampuni ya Green Waste Pro Ltd mwishoni mwa juma.
Na Mwandishi wetu
KAMPENI kubwa ya kuhamasisha usafi iliyokuwa inaendeshwa kampuni ya Green Waste Pro Ltd katika kata tatu za katikati ya jiji imemalizika kwa ufanisi mkubwa kiasi cha...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0005.jpg)
GREEN WASTE PRO LTD WAKAMILISHA KAMPENI YA USAFI KWA UFANISI, TICTS NAO WASHIRIKI