Mwakyembe achachamaa, amng’ang’ania bosi TICTS
MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya ushushaji mizigo bandarini (TICTS), Paul Wallace na menejimenti yake wanatakiwa kufika leo saa 2:00 asubuhi ofisini kwa Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kutoa maelezo kwa kukiuka Sheria na kutumia viwango vya ubadilishaji fedha za kigeni, tofauti na vile vinavyoelekezwa na Benki Kuu Tanzania (BoT).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Feb
DPP amng’ang’ania Shekhe Ponda
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amewasilisha hati ya kupinga ombi la marejeo, lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda kwa madai haliruhusiwi kisheria.
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-
MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...
9 years ago
Habarileo20 Dec
Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.
11 years ago
Habarileo04 May
Lipumba ang’ang’ania hoja ya Ukawa
PAMOJA na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika wengine wanaounda kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hawatorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Meya Bukoba ang’ang’ania kiti
LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVdk1cUsf5956ElOHcnSD4bAl*aQmqdTrormmsjMsnNTsCTSePWke3aB-flw7rmZpN72gwGJv*15oIxZxHpcLhOL/JACK.jpg?width=650)
JACK DUSTAN ANG’ANG’ANIA KUZAA NA MZUNGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf29sgafvrguT1m4iNwYkUy6hCpbY4IIp2SJKprYMvqz1X8O3qdIPy-BdI-FpfzSb5*cpusF7tEF0mtU9vV8xr7f/DrAnatoryAmani.jpg?width=600)
MEYA BUKOBA ANG’ANG’ANIA KITI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AdU3UjUB32oqoupJqx7icXYwaG4rdvtkvmdf2FqG2P7sG-oxh8k1s*dZDETJiUix4m-sxHYHxKQnq0b9PBq6p-S/sd.jpg?width=650)
SNURA ANG’ANG’ANIA KUISHI BAA
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Sumatra yaing’ang’ania Uda