Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Marekani yapinga karantini

Wafanyakazi wengi wa afya watachunguzwa kwa siku 21 kama wana dalili za Ebola lakini hawatatakiwa kutengwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola Marekani:Muuguzi apinga karantini

Muuguzi wa Marekani, ambaye alikuwa akihudumia wagonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone, amepinga kuwekwa karantini

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa

Marekani imeelezea kutoridhishwa kwake na kauli ya kuhukumiwa kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa Misri Mohamed Morsi hapo jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran:Marekani yapinga msimamo wa Israel

Rais Obama amepuuzilia onyo alilotoa waziri mkuu wa Israel kuhusu mpango wa Iran wa Nuclear ndani ya bunge la Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yapinga uchaguzi wa Urais Syria

Msemaji wa Ikulu ya White House ametaja uchaguzi wa Urais uliopangwa kufanywa nchini Syria kama "Mzaha wa Demokrasia".

 

10 years ago

Mwananchi

Ebola yamweka chini ya karantini

Mtanzania aliyetoka nchini Senegal, Mkazi wa Uru, wilayani Moshi Vijijini, amewekwa chini ya karantini katika wodi maalumu ya Hospitali ya Mawenzi, mjini Moshi akishukiwa kuwa na ugonjwa hatari wa ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:MSF yapinga mpango wa Sierra L

Shirika la MSF laonyesha wasiwasi wake kuhusu mpango wa siku tatu wa kuwatenga raia Sierra leone ili kusitisha ueneaji wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Muuguzi atishia kuvunja karantini

Muuguzi aliyewekwa chini ya karantini alipotoka kuwatibu wagonjwa nchini Sierra Leone ametishia kutoka nyumbani kwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Wanajeshi 1,300 karantini Liberia

Zaidi ya wanajeshi 1,300 wa Nigeria wanaofanya kazi chini ya kikosi cha Umoja wa Mataifa nchini Liberia wamewekwa Karantini

 

10 years ago

Vijimambo

Tisa wawekwa chini ya karantini kwa Ebola

Waziri wa Afya, Seif Rashid
Watu tisa wamewekwa chini ya karantini kutokana na kumhudumia mtu anayedaiwa kufariki kwa ugonjwa wa Ebola katika hospitali ya wilaya ya Sengerema, Mwanza mwishoni mwa wiki.

Idadi hiyo imefikia baada ya wafanyakazi watatu wa halmashauri ya wilaya ya Sengerema waliohusika kuuzika mwili wa mgonjwa huyo, Salome Richard (17), kuzuiwa kuchanganyika na wanajamii hadi vipimo halisi vitakapothibitisha ni ugonjwa gani uliomuua msichana huyo.

Salome alifariki usiku wa kumkia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani