Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Matamshi ya Chris Brown yakera

Sijui,lakini nadhani Janga la Ebola ni njia moja ya kudhibiti idadi ya watu duniani,janga hili linatisha kweli,'' aliandika Brown.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Matamshi kuhusu ubakaji yakera India

Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali

 

5 years ago

BBCSwahili

Matamshi ya Muigizaji Vanessa Hudgens kuhusu Corona yakera wengi

Muigizaji Vanessa Hudgens ameomba msamaha baada ya kusema kuwa kila mtu atakufa hata kukiwa hakuna virusi vya Corona.

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Chris Brown sasa ni Royalty Brown rasmi

Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza vita vyao kuhusiana na haki ya kila mmoja kukaa na mtoto wao pamoja na jina lake rasmi kwenye cheti cha kuzaliwa. Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris na Nia wamekubaliana rasmi kumlea pamoja mtoto huyo. Chris atakaa naye kwa siku 12 katika mwezi na hakutakuwa na […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown — Zero

Msanii Chris Brown ameachia wimbo mpya mwingine unaitwa “Zero” utakaokuepo kwenye Album yake mpya ambayo inategemewa kutoka hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Music: Chris Brown – Little More (Royalty)

little2

Baada ya kutoa single ya “Anyway”,‘Wrist’,‘Back to Sleep’ Chris Brown ameachia tena nyingine mpya! Wimbo unaitwa ‘Little More (Royalty)’ na ni single special kwajili ya mwanae wa mwaka mmoja na nusu, Royalty.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyumba ya Chris Brown yavamiwa

Nyumba ya nyota wa muziki Chris Brown kutoka Marekani imevamiwa na kupekuliwa na watu watatu waliofunika nyuso zao ambao walimfungia shangazi lake ndani chumba chake kulingana na maafisa wa polisi.

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN ANATIA HURUMA

Staa wa muziki wa RnB, Chris Brown. Chicago, Marekani
MAPENZI yanaumiza! Hii ni baada ya staa wa muziki wa RnB, Chris Brown, mwishoni mwa wiki iliyopita kunaswa akiomba kumrudia ex-girlfriend ambaye ni modo na mtangazaji, Karrueche Tran. Karrueche Tran akiondoka kutoka katika Klabu ya Playboy huko Chicago, Marekani. Chriss na Karrueche waliachana hivi karibuni kufuatia staa huyo wa Kibao cha Royal kutomjulisha mpenzi wake huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani