Ebola:Matamshi ya Chris Brown yakera
Sijui,lakini nadhani Janga la Ebola ni njia moja ya kudhibiti idadi ya watu duniani,janga hili linatisha kweli,'' aliandika Brown.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Matamshi kuhusu ubakaji yakera India
Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Matamshi ya Muigizaji Vanessa Hudgens kuhusu Corona yakera wengi
Muigizaji Vanessa Hudgens ameomba msamaha baada ya kusema kuwa kila mtu atakufa hata kukiwa hakuna virusi vya Corona.
9 years ago
Bongo529 Sep
Mtoto wa Chris Brown sasa ni Royalty Brown rasmi
Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza vita vyao kuhusiana na haki ya kila mmoja kukaa na mtoto wao pamoja na jina lake rasmi kwenye cheti cha kuzaliwa. Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris na Nia wamekubaliana rasmi kumlea pamoja mtoto huyo. Chris atakaa naye kwa siku 12 katika mwezi na hakutakuwa na […]
9 years ago
Bongo518 Sep
Video: Chris Brown — Zero
Msanii Chris Brown ameachia wimbo mpya mwingine unaitwa “Zero” utakaokuepo kwenye Album yake mpya ambayo inategemewa kutoka hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPL23 Aug
9 years ago
Bongo518 Dec
Music: Chris Brown – Little More (Royalty)
Baada ya kutoa single ya “Anyway”,‘Wrist’,‘Back to Sleep’ Chris Brown ameachia tena nyingine mpya! Wimbo unaitwa ‘Little More (Royalty)’ na ni single special kwajili ya mwanae wa mwaka mmoja na nusu, Royalty.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Nyumba ya Chris Brown yavamiwa
Nyumba ya nyota wa muziki Chris Brown kutoka Marekani imevamiwa na kupekuliwa na watu watatu waliofunika nyuso zao ambao walimfungia shangazi lake ndani chumba chake kulingana na maafisa wa polisi.
10 years ago
GPLCHRIS BROWN ANATIA HURUMA
Staa wa muziki wa RnB, Chris Brown. Chicago, Marekani
MAPENZI yanaumiza! Hii ni baada ya staa wa muziki wa RnB, Chris Brown, mwishoni mwa wiki iliyopita kunaswa akiomba kumrudia ex-girlfriend ambaye ni modo na mtangazaji, Karrueche Tran. Karrueche Tran akiondoka kutoka katika Klabu ya Playboy huko Chicago, Marekani. Chriss na Karrueche waliachana hivi karibuni kufuatia staa huyo wa Kibao cha Royal kutomjulisha mpenzi wake huyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania