Matamshi ya Muigizaji Vanessa Hudgens kuhusu Corona yakera wengi
Muigizaji Vanessa Hudgens ameomba msamaha baada ya kusema kuwa kila mtu atakufa hata kukiwa hakuna virusi vya Corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Matamshi kuhusu ubakaji yakera India
Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Ebola:Matamshi ya Chris Brown yakera
Sijui,lakini nadhani Janga la Ebola ni njia moja ya kudhibiti idadi ya watu duniani,janga hili linatisha kweli,'' aliandika Brown.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k2NcSvwfzUQ/XrEbYFtC7jI/AAAAAAALpLc/RiqFvNh4OhcpnF1cITliB1aXbCYw7jlmACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-05%2Bat%2B9.55.49%2BAM.png)
RAIS MAGUFULI AWA GUMZO KILA PEMBE YA DUNIA, MSIMAMO WAKE KUHUSU CORONA WAKUNA WENGI
Na Sultani Kipingo wa Michuzi TVRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekuwa gumzo kubwa sana duniani kwa siku kadhaa sasa toka aongee mjini Chato wakati wa hafla fupi ya kumwapisha Mhe. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Augustine Mahiga aliyefariki Ijumaa iliyopita.Vyombo vya habari vyote vikubwa duniani, kama vile televisheni za CNN, Al Jazeera, Sky News, BBC, CBS, DW, VOA pamoja na magazeti ya New York...
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Wenger atakiwa afafanue matamshi kuhusu dawa
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ametakiwa afafanue kuhusu matamshi aliyoyatoa kuhusu matumizi ya dawa za kutitimua misuli.
5 years ago
CCM Blog16 Feb
KUKINZANA RIPOTI RASMI YA WHITE HOUSE NA MATAMSHI YA TRUMP KUHUSU KUULIWA KIGAIDI LUTENI JENERALI SOLEIMANI
![Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Soleimani](https://media.parstoday.com/image/4bv6d0faea5c421llkg_800C450.jpg)
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Watoto wengi walioapata corona hawakuonesha dalili
Utafiti uliofanywa Ulaya umebainisha ni nadra sana kutokea kwa vifo miongoni mwa watoto walioambukizwa virusi vya corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s72-c/5e75f83c8ea98.jpg)
WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s640/5e75f83c8ea98.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.
Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.
Nenda...
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya Corona: Taarifa ambazo si sahihi kuhusu corona zimetapakaa Afrika?
Madai kuhusu virusi Corona ambayo hayana udhibitisho zimetapakaa katika mataifa mbalimbali Afrika.
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Nadharia za kuficha ukweli zaibuka kuhusu kifo cha mtaalamu wa corona.
Polisi nchini Marekani wanadai huenda mauaji hayo ni ya kimapenzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania