Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUKINZANA RIPOTI RASMI YA WHITE HOUSE NA MATAMSHI YA TRUMP KUHUSU KUULIWA KIGAIDI LUTENI JENERALI SOLEIMANI

Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali SoleimaniTarehe tatu Januari mwaka huu wa 2020, rais wa Marekani, Donald Trump, alifanya jinai ya kutoa amri ya kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na wanajihadi wenzake tisa karibu na uwanja wa ndege wa Baghdad, huko Iraq.Trump alijigamba kuwa ndiye aliyetoa amri ya kufanyika jinai hiyo kwa madai kuwa Luteni Jenerali Soleimani alikuwa ana mpango wa kushambulia taasisi muhimu za Marekani. Hata hivyo, ripoti...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MARASIMU YA MAOMBOLEZO YA 40 YA SHAHIDI LUTENI JENERALI SOLEIMANI YAFANYIKA KOTE NCHINI IRAN

Marasimu ya maombolezo ya 40 ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani yafanyika kote nchini Iran Marasimu ya maombolezo ya arubaini ya shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani Kamanda wa Kikosi cha Qods cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ( SEPAH) yamefanyika leo kote nchini Iran kwa kuhudhuriwa na umati mkubwa wa matabaka mbalimbali ya wananchi.Kamanda shahidi Qassem Soleimani ambaye tarehe Tatu Januari mwaka huu alielekea Iraq kwa mwaliko rasmi wa viongozi wa nchi hiyo aliuliwa shahidi akiwa pamoja na Abu Mahdi al Muhandis Naibu Mkuu wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Matamshi ya Trump yagawanya watu

Watu katika maeneo mbalimbali duniani wamepokea matamshi ya Donald Trump kwamba Waislamu wazuiwe kuingia Marekani kwa hisia tofauti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Clinton amkashifu matamshi ya Trump

Hilarry Clinton amemkashifu Donald Trump na kumuita kuwa mtu hatari kwa kutoa matamshi ya ubaguzi

 

11 years ago

BBCSwahili

Matamshi kuhusu ubakaji yakera India

Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger atakiwa afafanue matamshi kuhusu dawa

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ametakiwa afafanue kuhusu matamshi aliyoyatoa kuhusu matumizi ya dawa za kutitimua misuli.

 

5 years ago

BBCSwahili

Matamshi ya Muigizaji Vanessa Hudgens kuhusu Corona yakera wengi

Muigizaji Vanessa Hudgens ameomba msamaha baada ya kusema kuwa kila mtu atakufa hata kukiwa hakuna virusi vya Corona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Omar Gonzalez White House

Omar Gonzales aruka ukuta wa Ikulu ya Marekani na kukamatwa mkononi akiwa na kisu.

 

10 years ago

Habarileo

Ulinzi imara jengo la ‘White House’

HALI ya ulinzi katika Jengo la Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) maarufu White House, jana ilikuwa ya kutisha wakati wa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC).

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA AFUTURISHA WHITE HOUSE

Waislam wapata nafasi ya kufuturu na rais Obama baada ya kuandaa Iftar dinner White House siku ya jumatatu.
President Obama hosted an Iftar dinner celebrating Ramadan at the White House on Monday. He put at his table two Somali women from Minnesota: Kadra Mohamed (sitting fourth from Obama's left) and Munira Khalif (sitting third from Obama's right).
Kadra is St. Paul's first female Somali police officer, and Munira was accepted to all 8 Ivy League universities and campaigns for girls' education.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani