Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matamshi ya Trump yagawanya watu

Watu katika maeneo mbalimbali duniani wamepokea matamshi ya Donald Trump kwamba Waislamu wazuiwe kuingia Marekani kwa hisia tofauti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Clinton amkashifu matamshi ya Trump

Hilarry Clinton amemkashifu Donald Trump na kumuita kuwa mtu hatari kwa kutoa matamshi ya ubaguzi

 

5 years ago

CCM Blog

KUKINZANA RIPOTI RASMI YA WHITE HOUSE NA MATAMSHI YA TRUMP KUHUSU KUULIWA KIGAIDI LUTENI JENERALI SOLEIMANI

Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali SoleimaniTarehe tatu Januari mwaka huu wa 2020, rais wa Marekani, Donald Trump, alifanya jinai ya kutoa amri ya kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na wanajihadi wenzake tisa karibu na uwanja wa ndege wa Baghdad, huko Iraq.Trump alijigamba kuwa ndiye aliyetoa amri ya kufanyika jinai hiyo kwa madai kuwa Luteni Jenerali Soleimani alikuwa ana mpango wa kushambulia taasisi muhimu za Marekani. Hata hivyo, ripoti...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Je, Trump ameiwezeshaje jamii ya watu weusi ?

Rais Trump asema amefanya mengi kwa jamii ya watu weusi kuliko rais mwingine yeyote katika historia ya Marekani. Je, madai hayo ni kweli?

 

5 years ago

BBCSwahili

Donald Trump: Mkutano wa kampeni wa Tulsa haukuhudhuriwa na umati wa watu kama ilivyotarajiwa

Rais wa Marekani amehutubia watu wachache badala ya umati mkubwa wa watu kama ilivyotarajiwa katika mkutano wake wa kwanza wa kampeni ya kuwania urais tangu Machi .

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Trump 'anajiuliza ni kwanini ' watu wanapiga simu sana kuulizia ufanisi wa kemikali za kuua vimelea

Rais anasema kuwa hawajibiki kabisa na kuongezeka kwa sana kwa idadi ya simu zinaripotiwa kupigwa na watu kwa vituo vya dharura juu ya kemikali za kuua vimelea wa magonjwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mary Trump: Kumbukumbu ya mpwa wa rais Donald Trump inayomdhalilisha rais huyo

Mary Trump anatarajiwa kutoa kitabu kinachomuelezea mjomba wake Donald Trump kama mwanaume hatari sana duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

FA:Matamshi ya unyanyasaji yaripotiwe

Chama cha soka England, FA, kimewataka mashabiki kutoa taarifa kuhusu unyanyasaji wa kijinsia katika michezo

 

11 years ago

BBCSwahili

Matamshi kuhusu ubakaji yakera India

Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuwa wanawake huchangia kwa wao wenyewe kubakwa yamelaaniwa vikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Matamshi ya Chris Brown yakera

Sijui,lakini nadhani Janga la Ebola ni njia moja ya kudhibiti idadi ya watu duniani,janga hili linatisha kweli,'' aliandika Brown.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani