Wenger atakiwa afafanue matamshi kuhusu dawa
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ametakiwa afafanue kuhusu matamshi aliyoyatoa kuhusu matumizi ya dawa za kutitimua misuli.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Arsene Wenger atakiwa kuondoka Arsenal
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Arsenal kupokea kichapo kwenye Uwanja wa nyumbani wa Emirates, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Olympiakos, mashabiki wa klabu hiyo wamemtaka kocha wao, Arsene Wenger kuachia ngazi.
Katika mchezo huo ambao ulipigwa mwanzoni mwa wiki hii, Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-2 na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya mwisho katika kundi F ikiwa haina hata pointi na wakitarajia kukutana na Bayern Munich katika mchezo wao wa tatu.
Mashabiki wa Arsenal...
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Matamshi kuhusu ubakaji yakera India
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Matamshi ya Muigizaji Vanessa Hudgens kuhusu Corona yakera wengi
5 years ago
CCM Blog16 Feb
KUKINZANA RIPOTI RASMI YA WHITE HOUSE NA MATAMSHI YA TRUMP KUHUSU KUULIWA KIGAIDI LUTENI JENERALI SOLEIMANI
![Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Soleimani](https://media.parstoday.com/image/4bv6d0faea5c421llkg_800C450.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5m8fQ1zXbgQ/VRQZqQLhDsI/AAAAAAAHNcg/TgTYwmgDDcU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-26%2Bat%2B5.34.56%2BPM.png)
NEWS ALERT: ASKOFU GWAJIMA ATAKIWA KUHOJIWA NA JESHI LA POLISI KUHUSU TUHUMA ZA KASHFA NA MATUSI DHIDI YA KALDINARI PENGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-5m8fQ1zXbgQ/VRQZqQLhDsI/AAAAAAAHNcg/TgTYwmgDDcU/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-26%2Bat%2B5.34.56%2BPM.png)
"Tumepokea malalamiko ya kukashifiwa na kutukanwa hadharani Mwadhama Kaldinari Polycarp Pengo ambaye ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kama vile WhatsApp na mingineyo kuna sauti...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Yalioandikwa Dec 27 kuhusu Van Gaal, Wenger na Pep Guardiola kupigiwa simu na Rais wa PSG
VKama kawaida kila linalonifikia siachi kukujuza, ninazo headlines za stori za soka za Ulaya, ninazo headlines kuhusu maendeleo ya stori za maisha ya Louis van Gaal ndani ya Man United, ninazo stori kuhusu anayetajwa kuwa kocha ghali zaidi duniani Pep Guardiola, bila kusahau headlines za mkali wa Man United Michael Carrick. Haya ndio yalioandikwa leo December 27. […]
The post Yalioandikwa Dec 27 kuhusu Van Gaal, Wenger na Pep Guardiola kupigiwa simu na Rais wa PSG appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
WHO kushauri kuhusu dawa ya Ebola
11 years ago
Mwananchi18 May
Tupeni ukweli kuhusu dawa ya Truvada
11 years ago
Habarileo20 Mar
Jamii yaaswa kuhusu dawa ya meno
JAMII imeaswa kukagua dawa ya meno kabla ya kutumia kujiridhisha na ubora na viwango.