Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yalioandikwa Dec 27 kuhusu Van Gaal, Wenger na Pep Guardiola kupigiwa simu na Rais wa PSG

VKama kawaida kila linalonifikia siachi kukujuza, ninazo headlines za stori za soka za Ulaya, ninazo headlines kuhusu maendeleo ya stori za maisha ya Louis van Gaal ndani ya Man United, ninazo stori kuhusu anayetajwa kuwa kocha ghali zaidi duniani Pep Guardiola, bila kusahau headlines za mkali wa Man United Michael Carrick. Haya ndio yalioandikwa leo December 27. […]

The post Yalioandikwa Dec 27 kuhusu Van Gaal, Wenger na Pep Guardiola kupigiwa simu na Rais wa PSG appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Africanjam.Com

MANCHESTER UNITED EYEING PEP GUARDIOLA AS THE REPLACEMENT OF LOUIS VAN GAAL


Club legend Ryan Giggs had been expected to take over when the Dutchman's deal expires in 2017 but the Bayern boss is on their radar for NEXT summerLouis van Gaal has confirmed that he WILL walk away from Manchester United in 2017.The 64-year-old Dutchman, who signed a three-year contract when he arrived at Old Trafford last summer, insists he will not be reversing his decision to retire in 18 months’ time.But while Van Gaal is grooming his No 2 Ryan Giggs to be the next Old Trafford...

 

9 years ago

MillardAyo

David Silva kaweka wazi wanachofikiria wachezaji wenzake kuhusu tetesi za Pep Guardiola kujiunga Man City …

Licha ya kuhusishwa kujiunga na kikosi cha Manchester United kocha wa FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola kwa asilimia kubwa anapewa nafasi ya kujiunga na kikosi cha Manchester City, kwani mambo yanatajwa kuwa katika mipango ya mwisho kukamilika. Najua headlines za Pep Guardiola kujiunga na Man City umeshazisikia sana japokuwa hazijathibitishwa rasmi Guardiola atajiunga na klabu […]

The post David Silva kaweka wazi wanachofikiria wachezaji wenzake kuhusu tetesi za Pep Guardiola...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …

Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]

The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal ajitetea kuhusu Falcao

Kocha wa Man United Louis Van Gaal amesema uamuzi wa kumuondoa mshambuliaji Radamel Falcao kutoka kwenye kikosi chake ulikuwa wa kiufundi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Sina wasiwasi kuhusu wadhfa wangu

Mkufunzi Louis Van Gaal amesema kuwa hana wasiwasi kuhusu wadhfa wake na kwamba kikosi chake kinafaa kujaribu kushinda taji la Yuropa.

 

9 years ago

Bongo5

David Moyes ametoa mtazamo wake kuhusu kocha Louis van Gaal

2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789

Kocha wa zamani wa Everton na Manchester United, David Moyes ameeleza mtazamo wake kuhusu kocha wa sasa wa United Louis van Gaal. David Moyes amesema Van Gaal anastahili kupewa muda zaidi huku akiamini kuwa Manchester United inaweza kuzoa mafanikio chini ya Mdachi huyo.

2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789

Mashabiki wa United tayari wamepoteza imani kwa Van Gaal huku wakishuhudia klabu yao iliyokosa soka la kuburudisha ikifunga magoli 13 tu msimu huu kwenye Premier League. Lakini licha ya shutuma za mashabiki na wachambuzi wa...

 

9 years ago

MillardAyo

Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United …

Bado hali sio nzuri ndani ya klabu ya Man United, haikatishi siku bila mitandao ya kijamii, magazeti na tovuti kujadili juu ya kibarua cha kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal, mengi yameandikwa na kwakuwa Uingereza ndio Ligi inayopendwa na vyombo vya habari vya nchi hiyo vina nguvu, basi usishangae kuona nakuletea stori nyingine […]

The post Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Pep Guardiola: Nilaumiwe mimi

Kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola amejishushia lawama mwenyewe kutokana na kipigo cha ‘udhalilishaji’ ilichopigwa klabu hiyo juzi na kutolewa katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid.

 

5 years ago

The Liverpool Offside

Pep Guardiola Calls For Suspension Of Premier League

Pep Guardiola Calls For Suspension Of Premier League  The Liverpool OffsideArteta's Arsenal approach won't 'copy and paste' Guardiola's methods at Man City  Goal.comBig Change On The Right Flank | Predicted 4-2-3-1 Arsenal Lineup vs Manchester City  MAD ABOUT EPLArsenal need to continue with their prudent transfer policy  Just Arsenal NewsGuardiola backs misfiring Man City star Sterling to bounce back  Goal.comView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani