Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Endometriosis: Are you at risk?

Endometriosis is a female health disorder that occurs when cells from the lining of the womb (uterus) grow in other areas of the body. This can lead to pain, irregular bleeding, and infertility.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TATIZO LA ENDOMETRIOSIS (HITILAFU NDANI YA KIZAZI)

Karibu msomaji katika ukurasa huu ambao umekuwa ukikupa maarifa muhimu ya afya zetu. Leo tutaangalia tatizo la Endometriosis. Neno hili huenda ni mara ya kwanza kulisikia au umekuwa ukilisikia na huna ufahamu nalo vizuri. Kupitia makala haya utapata maarifa muhimu juu ya tatizo hilo. Kwanza huu ni ugonjwa unaowapata wanawake ambao unaambatana na magonjwa ya mfumo wa homoni na mfumo wa kinga ya mwili, ambapo seli na tishu...

 

9 years ago

BBC

VIDEO: Tanzanian model fights endometriosis

Tanzanian model talks about her fight against endometriosis

 

9 years ago

GPL

HITILAFU NDANI YA KIZAZI “ENDOMETRIOSIS”-2

Wiki iliyopita nilianza kulizungumzia tatizo hili na leo nitaimalizia ili wiki ijayo nianze mada nyingine. JINSI YA KUJIKINGA NA TATIZO
Kila mwanamke aliye katika umri wa kuzaa anaweza kupatwa na tatizo hili. Mwanamke aliye katika umri wa kuzaa ni kuanzia msichana aliyevunja ungo hadi yule mama aliyefikia ukomo wa hedhi. Kwa hiyo njia za kujinasua usipatwe na tatizo hili ni kuwa na tabia ya kufanya mazoezi ya mwili mara kwa...

 

11 years ago

Michuzi

HAPNESS MAGESE KUTOA MAFUNZO KUHUSIANA UGONJWA WA ‘Endometriosis’

Mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania na aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2001,Hapiness Millen Magese akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam Mey 28,2014 kuhusu kuanzishwa kwa Kampeni ya kuhamasisha wanawake na vijana kupaza sauti zao wanaposumbuliwa na ugonjwa wa ‘Endometriosis’ baada ya yeye kuathirika na Ugonjwa huo kwa kipindi kirefu.ambapo amesema wanawake wengi na wasichana wamekuwa wakisumbuliwa lakini...

 

11 years ago

Michuzi

HAPPINESS MAGESE ATOA MAFUNZO KUHUSIANA UGONJWA WA ‘Endometriosis’

Mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania na aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2001,Hapiness Millen Magese akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam Mei 28,2014 kuhusu kuanzishwa kwa Kampeni ya kuhamasisha wanawake na vijana kupaza sauti zao wanaposumbuliwa na ugonjwa wa ‘Endometriosis’ baada ya yeye kuathirika na Ugonjwa huo kwa kipindi kirefu.
Amesema wanawake wengi na wasichana wamekuwa wakisumbuliwa lakini hawajui...

 

10 years ago

IPPmedia

Pupils at risk


Pupils at risk
IPPmedia
If you are a parent or guardian with a child relying on school transport to and from school, do you have a habit of following up to find the status of vehicles in which your kid is ferried? If the answer is 'No' then there is a pressing need to develop such a habit as ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani