Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Enika - Changanya Changanya lulu enzi hizo

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

JK za kuambiwa changanya na zako 2015

RAIS Jakaya Kikwete ni zao la kundi la mtandao. Kundi hili liliongoza mapambano ya kidemokrasia ndani ya CCM kuanzia mwaka 1995 baada ya  kura za mwanasiasa huyo kutotosha kwenye kinyang’anyiro...

 

11 years ago

GPL

OYAAA… MASELA ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!

Inakuwaje wanangu? Ama nini? Watu pipooo. Tudei dizaini kama nina mzuka kinomanoma. Hapo kitaa cha kati shwari? Mtu mzima tayari nipo kwa mahewa kukisanukia. Kama vipi karibu kwenye hizi stori za kitaa. Ni tamu sana. Kaa hapo wewe! Kama kawa huwa baba la baba silazi damu kukatiza mitaa. Lasti sandei nikazama kitu cha Mabaibo hosteli. Ni hapa Dar tambarare arifu. Nilikwenda kwa mabizinaa si unajua tena hili jiji kuu la mahela?Ile...

 

10 years ago

Michuzi

usafiri enzi hizo....

 Tiketi na bei ya nauli za jiji la Dar es salaam enzi hizo. Wenye data tunaomba kumbukumbu zenu. Mjadala ruksa mradi usichafue hali ya hewa....

 

11 years ago

Mwananchi

Watu njatanjata ilivyopagawisha enzi hizo

>Mwishoni mwa miaka ya 80, kulikuwa na bendi nyingi za muziki wa dansi, ambazo zilikuwa zikileta upinzani uliozaa burudani iliyokuwa inakonga nyonyo za mashabiki wa muziki huo.

 

10 years ago

Michuzi

kutoka maktaba: Underline a.k.a Sunderland SC enzi hizo....

Naam Underline hao! ( a.k.a Sunderland Sports Club.) Kisukari  ,Durban, Kimimbi, Emmanuel 'Full-up'Arthur Mambeta,Gilbert Mahinya, Ali Kajo, Kibunzi VC10/auYussuf Salum Maleta. Waliochuchumaa Hatibu ,Kilomoni,Choteka,Mbaraka Salum Magembe, Liston na Haji Lesso.  

 

11 years ago

Michuzi

kutoka maktaba: usafiri mkuu enzi hizo

Sidhani kama vijana wa umri chini ya miaka 37 watajua hili, ila kwa wenye umri zaidi ya huo watakumbuka mabasi ya East African Railways maarufu kama mabasi ya 'Relwe' ndiyo yaliyokuwa kinara wa usafiri ini na Afrika Mashariki ya Kenya, Uganda na Tanzania kabla ya kuvunjika  kwa jumuiya hiyo mara ya kwanza mwaka 1977. Kabla ya hapo nchi hizo zilikuwa na shirika moja la ndege, meli, usafiri wa barabara na reli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani