Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYAAA… MASELA ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!

Inakuwaje wanangu? Ama nini? Watu pipooo. Tudei dizaini kama nina mzuka kinomanoma. Hapo kitaa cha kati shwari? Mtu mzima tayari nipo kwa mahewa kukisanukia. Kama vipi karibu kwenye hizi stori za kitaa. Ni tamu sana. Kaa hapo wewe! Kama kawa huwa baba la baba silazi damu kukatiza mitaa. Lasti sandei nikazama kitu cha Mabaibo hosteli. Ni hapa Dar tambarare arifu. Nilikwenda kwa mabizinaa si unajua tena hili jiji kuu la mahela?Ile...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

JK za kuambiwa changanya na zako 2015

RAIS Jakaya Kikwete ni zao la kundi la mtandao. Kundi hili liliongoza mapambano ya kidemokrasia ndani ya CCM kuanzia mwaka 1995 baada ya  kura za mwanasiasa huyo kutotosha kwenye kinyang’anyiro...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA TULIENI…KURUKARUKA ZIACHIE POPKONI!

Yere…yere masela inakuwa nini pale kati? Kwani kuna problemu? Kitaa hii ni mpeto wanangu hakuna kusebenza kozi hapa vumbi tu. Ukifuata nyayo tunatembea na fagio tunazifuta. Kitaa hiyo kwa fasi ya Roki Siti barida? Kama vipi mzuka tu makiksi wangu. Wanangu deizi zinakrosi kama hazina akili flenga na watu wazima bado mambo siyo freshi kozi hatujamaliza kurekebisha ishu f’lani za mkwanja ili kitu cha eksimasi kiende...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita utakumbuka nilizungumzia suala la kuwajali wapenzi wetu. Niligusia suala ya kuwapa nafasi watuchune. apo walioshituka kuona kichwa kile cha habari lakini kiukweli sikumaanisha kuchuna kule ambako wanawake micharuko hufanya hasa kwa waume za watu, nilimaanisha utayari wa kila mmoja kumsaidia mwenzake kifedha. Mkeo akitaka pesa ili aende saluni kama zipo, mpe! Akihitaji pesa akanunulie vipodozi...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2

Uhali gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni matumaini yangu umzima kabisa na uko tayari kusoma muendelezo wa makala haya ambayo niliianza wiki iliyopita. Maudhui hasa ya makala haya ni kuwatahadharisha baadhi ya watu ambao wanahusudu mapenzi kuliko kitu kingine utadhani wana pepo la ngono. Sikatai, kufanya mapenzi ni kitu muhimu sana hasa kwa watu walioingia kwenye ndoa. Kwa kifupi ni haki ya kila mmoja kuridhishwa na mwenza wake...

 

11 years ago

GPL

OYAAA BONGE NJOO TUBONGE!

SHWARI kitaa hiyooo…ama nini? Aisee arifu kipande hii ni mzuksi kinomanoma. Ebana eeh…lasti wikiendi ilikuwa longi ileile baada ya kuunganishwa na kitu cha holidei mbili za fastafasta chaliiangu. Kuna ishu nyingi ziliteki plesi ikiwemo kuombea kwa Saa Godi muungano wetu na masela wa hapo visiwani Zenji dheni tusake mahela. Huku na huku kachaa nilizama kwenye mitaa kucheki michongo wakati wa holidei. Huko kitaa cha TMK...

 

11 years ago

GPL

ZA KUAMBIWA NA JK, WARIOBA TUCHANGANYE NA ZETU

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete Ijumaa iliyopita alilizindua rasmi Bunge Maalum la Katiba kwa kutoa hotuba iliyokigawa chombo hicho muhimu kwa taifa kwa sasa, baada ya wajumbe wake kutofautiana misimamo. Hotuba hiyo ya Rais, ilikuja siku chache tu baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba...

 

11 years ago

GPL

BODABODA WALIVYOKIMBIA NA MAITI KISA KUAMBIWA WAMEFUATA UBWABWA

Kitendo cha waendesha pikipiki almaarufu Bodaboda kukimbia na maiti kisha kwenda kuzika wenyewe kilikuwa kama sinema na hivi ndivyo ilivyokuwa. Marehemu Gabriel Osward Ngalele. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, Mchungaji Edward Mtweve wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) lililopo Uyole, Njia Panda jijini hapa, hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya Bodaboda hao kuvuruga ibada ya mazishi ya mwendesha pikipiki...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI.

1.USHAHIDI  WA  KUAMBIWA  NI NINI?

Ushahidi  wa  kuambiwa  ni  ushahidi  unaotolewa  na  mtu  ambaye  hakuona  tukio  likitendeka,  hakusikia  tukio  likitendeka,  hakuhisi  wala  kuonja,  wala  kunusa  jambo  lililo mbele  ya  mahakama  kama  kosa  isipokuwa   aliambiwa    na  mtu  mwingine aliyeona,  kusikia, kuhisi, kunusa  au  kuonja.  Hapa  kuna  watu  wawili,  kwanza  aliyeona au kusikia , na  pili  yule  aliyeambiwa  na  huyu   aliyeona   au  kusikia .   Kwahiyo   katika maana  yetu   ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani