Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZA KUAMBIWA NA JK, WARIOBA TUCHANGANYE NA ZETU

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete Ijumaa iliyopita alilizindua rasmi Bunge Maalum la Katiba kwa kutoa hotuba iliyokigawa chombo hicho muhimu kwa taifa kwa sasa, baada ya wajumbe wake kutofautiana misimamo. Hotuba hiyo ya Rais, ilikuja siku chache tu baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

JK za kuambiwa changanya na zako 2015

RAIS Jakaya Kikwete ni zao la kundi la mtandao. Kundi hili liliongoza mapambano ya kidemokrasia ndani ya CCM kuanzia mwaka 1995 baada ya  kura za mwanasiasa huyo kutotosha kwenye kinyang’anyiro...

 

11 years ago

GPL

OYAAA… MASELA ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!

Inakuwaje wanangu? Ama nini? Watu pipooo. Tudei dizaini kama nina mzuka kinomanoma. Hapo kitaa cha kati shwari? Mtu mzima tayari nipo kwa mahewa kukisanukia. Kama vipi karibu kwenye hizi stori za kitaa. Ni tamu sana. Kaa hapo wewe! Kama kawa huwa baba la baba silazi damu kukatiza mitaa. Lasti sandei nikazama kitu cha Mabaibo hosteli. Ni hapa Dar tambarare arifu. Nilikwenda kwa mabizinaa si unajua tena hili jiji kuu la mahela?Ile...

 

11 years ago

GPL

BODABODA WALIVYOKIMBIA NA MAITI KISA KUAMBIWA WAMEFUATA UBWABWA

Kitendo cha waendesha pikipiki almaarufu Bodaboda kukimbia na maiti kisha kwenda kuzika wenyewe kilikuwa kama sinema na hivi ndivyo ilivyokuwa. Marehemu Gabriel Osward Ngalele. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, Mchungaji Edward Mtweve wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) lililopo Uyole, Njia Panda jijini hapa, hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya Bodaboda hao kuvuruga ibada ya mazishi ya mwendesha pikipiki...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE

 Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.
Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, akipongezwa na wanaCCM katika mkutano wa kampeni...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI

Na  Bashir  Yakub.
1.USHAHIDI  WA  KUAMBIWA  NININI.
Ushahidi  wa  kuambiwa  ni  ushahidi  unaotolewa  na  mtu  ambaye  hakuona  tukio  likitendeka,  hakusikia  tukio  likitendeka,  hakuhisi  wala  kuonja,  wala  kunusa  jambo  lililo mbele  ya  mahakama  kama  kosa  isipokuwa   aliambiwa    na  mtu  mwingine aliyeona,  kusikia, kuhisi, kunusa  au  kuonja.  Hapa  kuna  watu  wawili,  kwanza  aliyeona au kusikia , na  pili  yule  aliyeambiwa  na  huyu   aliyeona   au  kusikia .   
Kwahiyo  ...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: ZIJUE SABABU NNE KWANINI USHAHIDI WA KUAMBIWA HAUKUBALIKI MAHAKAMANI.

1.USHAHIDI  WA  KUAMBIWA  NI NINI?

Ushahidi  wa  kuambiwa  ni  ushahidi  unaotolewa  na  mtu  ambaye  hakuona  tukio  likitendeka,  hakusikia  tukio  likitendeka,  hakuhisi  wala  kuonja,  wala  kunusa  jambo  lililo mbele  ya  mahakama  kama  kosa  isipokuwa   aliambiwa    na  mtu  mwingine aliyeona,  kusikia, kuhisi, kunusa  au  kuonja.  Hapa  kuna  watu  wawili,  kwanza  aliyeona au kusikia , na  pili  yule  aliyeambiwa  na  huyu   aliyeona   au  kusikia .   Kwahiyo   katika maana  yetu   ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya kuambiwa anatumia ARV, Amanda poshy aamua kuonesha majibu yake ya “ngoma”

Baada ya ile story iliyozagaa mitandaoni kuwa  mwanadada Amanda poshy anatumia ARV (Dawa ya kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI) hatimaye leo, mwanadada huyo ameamua kuudhihirishia umma kuwa yeye yuko safi, na habari hizo ni uzushi tu na yenye lengo la kumchafua kwenye jamii baada ya kuamua kupima na kuweka majibu yake ya vipimo vya “ngoma” hadharani  kwenye mtandao mmoja wa kijamii.

Katika picha hiyo mwanadada huyo aliandika kuwa ni vizuri kucheki afya yako mara kwa mara, picha iliyokuwa...

 

11 years ago

GPL

AVAMIA NYUMBA YA MPENZI WAKE, AVUNJA SOFA, ACHANA NGUO NA MASHUKA BAADA YA KUAMBIWA HAPENDWI

Nyumba ya Rebecca Shaw ikiwa imevurugwa. Alipofika alifikiri kuwa ni damu iliyokuwa imetapakaa ukutani kabla ya kubaini kuwa zilikuwa 'tomato sauce'.
Polisi wakikagua ndani ya nyumba ya Rebecca ambapo Geraghty alisababisha hasara ya shilingi milioni 20.9.…

 

9 years ago

Vijimambo

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA

Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.  PICHA ZOTE/JOHN BADI WA DAILY MITIKASI BLOGWaziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akizungumza wakati akiwanadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani