BODABODA WALIVYOKIMBIA NA MAITI KISA KUAMBIWA WAMEFUATA UBWABWA
![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqyNjdC0YQUCCJLIUHyy3A56sCKTJ7XavuoxNZfy8XXyE4utfnMJw2sJp5gh3GQ7S9A-ftkXBMcZljIa07QtgXuI/bodaboda.jpg?width=650)
Kitendo cha waendesha pikipiki almaarufu Bodaboda kukimbia na maiti kisha kwenda kuzika wenyewe kilikuwa kama sinema na hivi ndivyo ilivyokuwa. Marehemu Gabriel Osward Ngalele. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, Mchungaji Edward Mtweve wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) lililopo Uyole, Njia Panda jijini hapa, hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya Bodaboda hao kuvuruga ibada ya mazishi ya mwendesha pikipiki...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Aug
Gari lenye maiti 10 laua ‘bodaboda’, abiria
DEREVA wa bodaboda na abiria wake wamekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari lililobeba maiti 10 zilizotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Maiti yakaa mochwari siku 34, kisa mgogoro wa wazazi
11 years ago
CloudsFM18 Jun
FAMILIA YAKATAA KUCHUKUA MAITI MOCHWARI, KISA YANYOFOLEWA VIUNGO
Vurugu kubwa zimetokea katika kijiji cha Buyango wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya wazazi kuikataa maiti ya mtoto wao kwa madai amenyofolewa viungo vyake vya mwili hali iliyosababisha polisi kutumia mabomu ya machozi kutawanya makundi yaliyofunga barabara na kubomoa chumba cha kuhifadhia maiti kutafuta viungo hivyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmyjcmEKk3WJ*AWcvrhsV8jPQp3YfPAVkr*J3ogAEab3vOn3AY-SN9gGxj1kfr8CDmNlkdigBaLWH1PgFdcqfs1/boda.jpg)
BODABODA ANUSA KIFO KISA, KUKWAPUA SIMU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQ9Pc3wnMxPU0xsXKH2kJ0C-FJ*WRu270H*sJDn1KSQcdpKCxUYAfm0xBvQgHXEyEsAA1JqnSbZv5PU5wU5hL0s/coutinho.gif?width=650)
Coutinho anogewa na sembe, ubwabwa Yanga SC
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
JK za kuambiwa changanya na zako 2015
RAIS Jakaya Kikwete ni zao la kundi la mtandao. Kundi hili liliongoza mapambano ya kidemokrasia ndani ya CCM kuanzia mwaka 1995 baada ya kura za mwanasiasa huyo kutotosha kwenye kinyang’anyiro...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DqaYw0w2aP-37kt9hl2RBBeBqlj7d2sdP5VwhTxLSoTJZwlHySwHLzMv6y1NkETlj*kEmwzl-xQLN84DSzC-Adl7I7VO2TiQ/raiskikwete.jpg?width=650)
ZA KUAMBIWA NA JK, WARIOBA TUCHANGANYE NA ZETU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXL*6kGNSYp2tjbPqONhpJZcNNNJSGtOcHh-XTTwDtdYJ1KsEw2GTaYPdphV9Iet9Mg5MKZXPfY6fzTvxtVNzuAS/1MPEKE.jpg?width=650)
OYAAA… MASELA ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA