Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYAAA BONGE NJOO TUBONGE!

SHWARI kitaa hiyooo…ama nini? Aisee arifu kipande hii ni mzuksi kinomanoma. Ebana eeh…lasti wikiendi ilikuwa longi ileile baada ya kuunganishwa na kitu cha holidei mbili za fastafasta chaliiangu. Kuna ishu nyingi ziliteki plesi ikiwemo kuombea kwa Saa Godi muungano wetu na masela wa hapo visiwani Zenji dheni tusake mahela. Huku na huku kachaa nilizama kwenye mitaa kucheki michongo wakati wa holidei. Huko kitaa cha TMK...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OYAAA… MASELA ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO!

Inakuwaje wanangu? Ama nini? Watu pipooo. Tudei dizaini kama nina mzuka kinomanoma. Hapo kitaa cha kati shwari? Mtu mzima tayari nipo kwa mahewa kukisanukia. Kama vipi karibu kwenye hizi stori za kitaa. Ni tamu sana. Kaa hapo wewe! Kama kawa huwa baba la baba silazi damu kukatiza mitaa. Lasti sandei nikazama kitu cha Mabaibo hosteli. Ni hapa Dar tambarare arifu. Nilikwenda kwa mabizinaa si unajua tena hili jiji kuu la mahela?Ile...

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua njoo Katarina usije

Lugha ya Kiswahili ina mbinu mbalimbali za maandishi na matamshi zinazoifanya ipendeze. Zaidi ya kupendezesha, mbinu hizo hurahisisha matumizi ya lugha. 

 

10 years ago

Bongo5

New Music: 909 — Njoo Hapa

Kundi la 909 linaloundwa na members watano, limeachia single mpya ‘Njoo Hapa’ “Njoo Hapa ni wimbo unaotoa matumaini kwenye Mapenzi hasa kwa wale walowahi kuumizwa, Your past experiences cant dictate your future happiness. TRUST AGAIN,” wanasema.

 

10 years ago

Mwananchi

afumbua fumbo la wimbo ‘Njoo Uchukue’

Watu wakikimbia wanakozika hudondokea kwenye maiti nyama, siku zote naamini kwamba huwezi kulala kwenye mto hata kama uliokauka, ukitaka kujua mwendo wa mjinga mpe kilemba uone, kama ya kwangu itakusaidia ili kupata, njoo nyumbani uifuate.”

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK: Njoo, kama kufa tufe pamoja

RAIS Jakaya Kikwete ana aibu? Ana woga? Ana hasira? Ana kiwewe? Ana nini? Anataka kusema nini leo ambacho hawezi kukisema bila marais na mawaziri wakuu waliopita kuwa karibu naye? Leo...

 

11 years ago

Mwananchi

Unataka kula ushibe? Njoo Brazil

Unahitaji juisi katika hoteli au baa yoyote ya Brazil? Unahitaji juisi gani? Ya machungwa? Jibu linakuwa rahisi kwa muuzaji. Anachofanya ni kukata machungwa matatu na kuyakamua kwa mashine mbele ya macho yako kisha anaingiza vipande vya barafu ndani ya glasi na kukukabidhi.

 

11 years ago

Mwananchi

Leo hakuna stori, njoo tule gambe!

Hivi mlisikia ile ishu ya juzikati ya viungo ambayo kwa breini zenu ziro mliihusisha na uchawi kumbe ni ishu za hospito?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani