Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NJOO UJIFUNZE NAMNA YA KUFIKIRI NJE YA BOKSI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona : Namna nchi za Afrika zinavyotekeleza amri ya kutotoka nje

Nchi zimechukua mkondo tofauti katika kuweka makatazo- zipi hasa zinafanikiwa katika vita dhidi ya virusi?

 

11 years ago

GPL

UHAMIAJI WANATAKIWA KUFIKIRI ZAIDI

MWENYEZI Mungu, mwingi wa rehema ni wa kushukuriwa sana kwa kila jambo tunalolitenda hapa duniani. Kwa mara nyingine ameendelea kutenda miaujiza yake na leo hii tunakutana tena kwenye safu yetu maridhawa. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe. Mwishoni mwa wiki iliyopita, yalitokea mambo mengi, yakiwemo uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, kitu ambacho sasa kimefungua rasmi shughuli za chombo hicho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kutolala hupunguza uwezo wa kufikiri

JOHN ni mwanafunzi wa chuo, amebakiza muda mfupi kuhitimu shahada katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. Anatumia karibu muda wake wote kwa masomo kufanya mazoezi kwa vitendo na kufanya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashine yenye uwezo wa kufikiri kitisho

Matumizi ya mashine yenye uwezo wa kufikiria kama binadamu yasababisha hofu kwa kizazi cha binadamu

 

10 years ago

GPL

TYGA AANZA KUFIKIRI NDOA NA KYLIE

Mwanamuzuki wa miondoko ya kufoka, Tyga.
Los Angeles, Marekani
MSANII wa miondoko ya kufoka, Tyga, 25, amesema baada ya kuwa kwenye uhusiano wa muda mrefu na mpenzi wake ambaye ni mdogo wa mwanamitindo, Kim Kardashian, Kylie Jenner, 17, sasa wana mpango wa kuishi kama mke na mume. Tyga akiwa na mpenzi wake Kylie Jenner. Chanzo cha karibu na mastaa hao kilisema Tyga ana mpango… ...

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Kufikiri amani itanyesha kama mvua ni kuchanganyikiwa

Inashangaza, tunapiga magoti kuomba amani. Watu wanakesha makanisani kuomba amani. Kwenye majukwaa ya siasa tunawasikia wanasiasa wakiimba amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mtoto wa boksi’ hatunaye

Mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi akiwa na umri wa miezi tisa, amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa ajili ya uchunguzi na matibabu. Taarifa za...

 

11 years ago

Habarileo

Buriani 'mtoto wa boksi'

MSIBA wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa zaidi ya miaka mitatu, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, umeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini. Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kauli ya mwisho ya ‘mtoto wa boksi’

>Mtoto Nasra Rashid Mvungi (4), aliyefichwa kwenye boksi kwa miaka minne, amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na katika saa zake za mwisho za uhai wake alisikika akitamka maneno “sitaki waje kunichukua”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani