Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EU yajadili kukata msaada Burundi

Muungano wa Ulaya EU umeanza kikao maalum kujadili uwezekano wa kukata msaada wake nchini Burundi. EU ndio inatoa msaada mkubwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yainyima Burundi msaada

Ubelgiji imesitisha msaada wa aina yoyote kwa Burundi, hasa uliokuwa ukifadhili uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yakatiza msaada kwa Burundi

Ubelgiji imesema haitatoa tena ufadhili kwa miradi inayonufaisha serikali ya Burundi baada ya Pierre Nkurunziza kuchaguliwa kuongoza muhula wa tatu.

 

10 years ago

GPL

KIPINDUPINDU TISHIO KAMBI YA WAKIMBIZI WA BURUNDI NYARUGUSU, OXFAM YATOA MSAADA WA MAJI SAFI NA VYOO

 Baadhi ya wakimbizi wakiwa wamewasili Kigoma  Wakimbizi kutoka…

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yajadili Wahamiaji

Suala la uhamiaji limetawala kongamano la chama tawala nchini Uingereza cha conservative.

 

10 years ago

Habarileo

CCM Zanzibar yajadili wagombea

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, ameongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa Zanzibar, kujadili majina ya wagombea ubunge na uwakilishi kupitia chama hicho.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yajadili bei ya sukari

SERIKALI iko katika mazungumzo na viwanda vyote vinavyozalisha sukari kuangalia namna ya kuviondolea baadhi ya gharama za uzalishaji ili bidhaa hiyo ishuke bei.

 

10 years ago

BBCSwahili

IGAD yajadili Sudan Kusini

Marais wa Igad wanajadili mzozo nchini Sudan Kusini uliodumu kwa zaidi ya miezi saba sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati Kuu CCM yajadili Bunge Maalum

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete jana alifungua kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, ambapo pamoja na mambo mengine kitajadili mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Vijimambo

CCM YAJADILI KUJIENDESHA KIUCHUMI NA MIPANGO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MJINI DODOMA




 Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanga makabrasha tayari kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ambapo masuala ya kujiendesha kiuchumi na mipango ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa yanajadiliwa.
 
  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma ambapo aliwaeleza juu ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana Oktoba 16, 2014 katika siku ya kwanza ya kikao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani