EU yajadili kukata msaada Burundi
Muungano wa Ulaya EU umeanza kikao maalum kujadili uwezekano wa kukata msaada wake nchini Burundi. EU ndio inatoa msaada mkubwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 May
Ubelgiji yainyima Burundi msaada
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Ubelgiji yakatiza msaada kwa Burundi
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-uY3DnqFOBR0/VVyMJmMIQ2I/AAAAAAAAa-Y/CefpYxDw97c/s640/B1.jpg)
KIPINDUPINDU TISHIO KAMBI YA WAKIMBIZI WA BURUNDI NYARUGUSU, OXFAM YATOA MSAADA WA MAJI SAFI NA VYOO
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Uingereza yajadili Wahamiaji
10 years ago
Habarileo09 Aug
CCM Zanzibar yajadili wagombea
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, ameongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa Zanzibar, kujadili majina ya wagombea ubunge na uwakilishi kupitia chama hicho.
9 years ago
Habarileo07 Jan
Serikali yajadili bei ya sukari
SERIKALI iko katika mazungumzo na viwanda vyote vinavyozalisha sukari kuangalia namna ya kuviondolea baadhi ya gharama za uzalishaji ili bidhaa hiyo ishuke bei.
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
IGAD yajadili Sudan Kusini
10 years ago
Habarileo20 Aug
Kamati Kuu CCM yajadili Bunge Maalum
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete jana alifungua kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho, ambapo pamoja na mambo mengine kitajadili mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lVtPHC_ARwM/VEDVqnSzG-I/AAAAAAAASZo/koWhUsJaQ3o/s72-c/7.jpg)
CCM YAJADILI KUJIENDESHA KIUCHUMI NA MIPANGO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lVtPHC_ARwM/VEDVqnSzG-I/AAAAAAAASZo/koWhUsJaQ3o/s1600/7.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanga makabrasha tayari kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ambapo masuala ya kujiendesha kiuchumi na mipango ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa yanajadiliwa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1Arec1KwvdU/VEDVh4fqaaI/AAAAAAAASY4/xEh3hyhoNiE/s1600/1.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma ambapo aliwaeleza juu ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana Oktoba 16, 2014 katika siku ya kwanza ya kikao...