EU,UN watia saini ruzuku kusaidia Tanzania
JUMUIYA ya Ulaya (EU) imetia saini na Mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopo nchini Tanzania yanayofanya kazi kama shirika moja (One UN) wa ruzuku ya Euro 200,000 (takribani Sh 478,000,000) kwa ajili ya shughuli za maendeleo zitakazonufaisha wananchi wa Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Jul
UN Tanzania, Norway watia saini mkataba wa bil 6.9/-
UMOJA wa Mataifa nchini Tanzania umetia saini mkataba na ubalozi wa Norway wa Sh bilioni 6. 9 (dola za Marekani milioni 3.1) kusaidia masuala mbalimbali nchini Tanzania. Masuala hayo ni ya wakimbizi, utawala bora, haki za binadamu na ushirikiano na watu wa Zanzibar.
10 years ago
Dewji Blog08 May
UNESCO, Serikali watia saini mradi wa mafunzo ya Tehama kwa walimu
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (wa pili kulia), Balozi wa China nchini, Mh. LU Youqing (kushoto), Afisa utawala na fedha wa UNESCO, Spencer Bokosha (kulia), Ofisa anayeshughulikia masuala ya Elimu Kitaifa wa UNESCO, Tumsifu Mmar pamoja na mkalimani wa Balozi wa China wakifurahi jambo wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome (hayupo pichani) akiwasili kwenye...
9 years ago
VijimamboWATUMISHI HOUSING COMPANY, BENKI YA CRDB WATIA SAINI MKATABA WA MIKOPO YA NYUMBA KWA WATUMISHI WA UMMA
Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambo (kulia), akitia saini mkataba huo. Kutoka kushoto ni Chief Operation Officer wa WHCTZ, Weja Ng'olo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TMRC, Oscar Mgaya, Mkurugenzi wa Watumishi Housing Company, Dk.Fred Msemwa na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Charles Kimei.
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Redd’s Miss Tanzania kambini, Lake Zone watia fora Dar
WAREMBO 30 wenye tiketi ya kushiriki fainali ya shindano la Redd’s Miss Tanzania, jana walianza kambi huku kivutio kikubwa katika Hoteli ya JB Belmonte, ilikuwa ni kuwasili warembo wa Kanda...
10 years ago
VijimamboTanzania na India Za saini Mikataba ya Ushirikiano
10 years ago
Habarileo25 Oct
Tanzania, China zatia saini mikataba minne
MIRADI minne ya maendeleo Tanzania itanufaika na mabilioni ya fedha, yatakayotolewa na China baada ya nchi hizo mbili kutiliana saini Hati za Makubaliano kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo itakayosaidia kuinua uchumi wa taifa.
11 years ago
GPLUTIAJI SAINI WA MIKATABA KATI YA SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA NA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-InFyQFNoFgQ/VQ4K7XK8KCI/AAAAAAADdWg/swPHW48bTVY/s72-c/4d8d74925f4fc2e85a3c391903f4a016.jpg)
TANZANIA CHILDREN'S PROJECT YAFANYA HARAMBEE KUSAIDIA WATOTO TANZANIA COLUMBIA, MARYLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-InFyQFNoFgQ/VQ4K7XK8KCI/AAAAAAADdWg/swPHW48bTVY/s1600/4d8d74925f4fc2e85a3c391903f4a016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SvhYEWFgAeQ/VQ4K_RFthLI/AAAAAAADdWk/VlkjHDl0Hqk/s1600/e3c41c65719aad8e7ad47fc986c7cc12.jpg)