Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Exclussive Interview na Mkenya aliyeitendea haki Hallo ya Adele – Dela

Nakukutanisha na mwimbaji Mkenya Dela aliyefanya Copy ya wimbo wa Adele-Hello kwa lugha ya Kiswahili ambao umempelekea kukamata Headlines nyingi ndani na nje ya Afrika Mashariki. Ukibonyeza Play hapa chini utaweza kuipata full exclussive Interview Na hii ndio Original song ya Adele-Hello Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Exclussive Interview na Mkenya aliyeitendea haki Hallo ya Adele – Dela appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Audio: Dela wa ‘Asante’ ya AY afanya cover ya Kiswahili ya wimbo wa Adele ‘Hello’

adele_two

Zimeshafanyika cover za kila aina za wimbo maarufu wa Adele ‘Hello’ uliopo kwenye albamu yake mpya 25.

Na sasa muimbaji wa Kenya, Dela aliyewahi kushirikishwa na AY kwenye wimbo wake Asante, amekuja na cover ya Kiswahili ya wimbo huo and it’s fire.

“Hello! It was wonderful translating this amazing song by Adele. Thanks a million to Sauti Sol’s @Fancyfingers1 the much talented Benjamin Webi and Andrew Wanjohi. We got goosebumps producing this.
I hope you do, too,” ameandika...

 

9 years ago

MillardAyo

Exclussive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video)

Ni muda sasa tangu kusikika kwa headlines za wasanii Berry Black & Berry White ambao walikuwa wakijulikana kama ‘2 Berry’ mara baada ya kuachia hit song ya ‘Na wewe tu’ waliyomshirikisha producer Shirko stori zikaenea kuwa wawili hao wametofautiana na hawafanyi tena kazi pamoja. Sasa hapa nakukutanisha na Berry Black ambaye anaeleza yote mwanzo mwisho […]

The post Exclussive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Mtandao wa Marekani waisifia cover ya Kiswahili ya ‘Hello’ iliyoimbwa na MKenya, Dela

Dela-Maranga

Dela ni muimbaji kutoka Kenya aliyeingia kwenye orodha ya wasanii wengi duniani waliofanya cover ya hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele-Hello, lakini yeye akiwa ameifanya kwa lugha ya Kiswahili.

adele na dela

Cover hiyo ya Kiswahili imesifiwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na mtandao mkubwa wa Marekani, Perez Hilton waliodiriki kusema kuwa ni kali kuliko original version ya Adele.

This is INCREDIBLE! RT @Adele's #Hello in Swahili might be the best cover yet. Listen HERE! https://t.co/qWiE83UNcv...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjue kwa undani Maya Dela Rosa nyota wa uigizaji

Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu, leo hatutakuwa na masimulizi ya Tamthiliya ya Be Careful With My Heart. Badala yake tutangalia wasifu wa mhusika mkuu katika tamthiliya hiyo, Jodi Santamaria ambaye anafahamika kama Maya dela Rosa.

 

11 years ago

GPL

DELA: VAZI LINALOTAMBA KWA KINA MAMA SEHEMU NYINGI

Vazi lenye staha kama inavyoonekana kwa kina mama hawa.    Wema Sepetu (katikati) na wenzake wakiwa wamejipamba na madela yao.    Mwanadada akimwaga radhi maeneo ya Msasani akiwa kavaa…

 

5 years ago

Michuzi

Tume ya Haki za Binadamu, Shirikianeni na TCRA Upatikanaji wa Haki za Mtandao-Waziri Kombo

 Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mahamoud Thabit Kombo akizungumza katika kikao na ujumbe wa juu wa  watendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (kushoto), Watendaji Wakuu wa Wizara hiyo(kulia), pamoja na waandishi wa habari katika ziara ya tume hiyo iliyofanyika Zanzibar.   Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (wa pili kushoto), akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale...

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu



Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.

Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema:  “Mwaka huu...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka Katiba iwe na haki za watetezi wa haki za binadamu

MTANDAO wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), wamewaomba Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuingiza katika rasimu ya Katiba mpya suala la ulinzi na haki za watetezi wa haki za binadamu, wakiwemo waandishi wa habari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani