Exclussive Interview na Mkenya aliyeitendea haki Hallo ya Adele – Dela
Nakukutanisha na mwimbaji Mkenya Dela aliyefanya Copy ya wimbo wa Adele-Hello kwa lugha ya Kiswahili ambao umempelekea kukamata Headlines nyingi ndani na nje ya Afrika Mashariki. Ukibonyeza Play hapa chini utaweza kuipata full exclussive Interview Na hii ndio Original song ya Adele-Hello Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Exclussive Interview na Mkenya aliyeitendea haki Hallo ya Adele – Dela appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Dec
Audio: Dela wa ‘Asante’ ya AY afanya cover ya Kiswahili ya wimbo wa Adele ‘Hello’
![adele_two](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/adele_two-300x194.jpg)
Zimeshafanyika cover za kila aina za wimbo maarufu wa Adele ‘Hello’ uliopo kwenye albamu yake mpya 25.
Na sasa muimbaji wa Kenya, Dela aliyewahi kushirikishwa na AY kwenye wimbo wake Asante, amekuja na cover ya Kiswahili ya wimbo huo and it’s fire.
“Hello! It was wonderful translating this amazing song by Adele. Thanks a million to Sauti Sol’s @Fancyfingers1 the much talented Benjamin Webi and Andrew Wanjohi. We got goosebumps producing this.
I hope you do, too,” ameandika...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Exclussive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video)
Ni muda sasa tangu kusikika kwa headlines za wasanii Berry Black & Berry White ambao walikuwa wakijulikana kama ‘2 Berry’ mara baada ya kuachia hit song ya ‘Na wewe tu’ waliyomshirikisha producer Shirko stori zikaenea kuwa wawili hao wametofautiana na hawafanyi tena kazi pamoja. Sasa hapa nakukutanisha na Berry Black ambaye anaeleza yote mwanzo mwisho […]
The post Exclussive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video) appeared first on...
9 years ago
Bongo517 Dec
Mtandao wa Marekani waisifia cover ya Kiswahili ya ‘Hello’ iliyoimbwa na MKenya, Dela
![Dela-Maranga](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Dela-Maranga-300x194.jpg)
Dela ni muimbaji kutoka Kenya aliyeingia kwenye orodha ya wasanii wengi duniani waliofanya cover ya hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele-Hello, lakini yeye akiwa ameifanya kwa lugha ya Kiswahili.
Cover hiyo ya Kiswahili imesifiwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na mtandao mkubwa wa Marekani, Perez Hilton waliodiriki kusema kuwa ni kali kuliko original version ya Adele.
This is INCREDIBLE! RT @Adele's #Hello in Swahili might be the best cover yet. Listen HERE! https://t.co/qWiE83UNcv...
11 years ago
Michuzi12 Feb
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Mjue kwa undani Maya Dela Rosa nyota wa uigizaji
11 years ago
GPLDELA: VAZI LINALOTAMBA KWA KINA MAMA SEHEMU NYINGI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HNxY9xdnu-4/Xujj7WyJA0I/AAAAAAALuIU/6g-ZzRNlvRAeRXEBdkYPz-oWuWIMPFC_QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu, Shirikianeni na TCRA Upatikanaji wa Haki za Mtandao-Waziri Kombo
![](https://1.bp.blogspot.com/-HNxY9xdnu-4/Xujj7WyJA0I/AAAAAAALuIU/6g-ZzRNlvRAeRXEBdkYPz-oWuWIMPFC_QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-egpneANz2LE/Xujj7WHC6oI/AAAAAAALuIY/634LGgxVMJU23Qi3NVQRxgA5qMJE-5tPgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi28 Feb
Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu
![](https://media.parstoday.com/image/4bv515a29aa0bd1kfba_800C450.jpg)
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.
Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema: “Mwaka huu...
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wataka Katiba iwe na haki za watetezi wa haki za binadamu
MTANDAO wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), wamewaomba Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuingiza katika rasimu ya Katiba mpya suala la ulinzi na haki za watetezi wa haki za binadamu, wakiwemo waandishi wa habari.