Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAINALI YA AIRTEL UNI255 UDSM INTER-COLLEGE CHAMPIONS LEAGUE YAHIMITISHWA

Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Betram Mapunda akikagua wachezaji wa Chuo cha Sayansi za Jamii, kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali ya mashindano ya vitivo mbalimbali vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, yaliyodhaminiwa na Airtel Tanzania kupitia huduma yake ya Uni 255, yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam juzi. Timu hizo zilitoka sare ya magoli 1-1 katika mpambano huo,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

UEFA.Com

Champions League Fantasy: Big-money assets | UEFA Champions League

Champions League Fantasy: Big-money assets | UEFA Champions League  UEFA.com9 Games You Simply Must Watch This Weekend  90minJavi Martinez has no memory of Bayern’s 2013 Champions League victory over Dortmund  Bavarian Football WorksChampions League Fantasy: Bargain signings | UEFA Champions League  UEFA.comChampions League: What to look out for in the knockout stages  BBC SportView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Victor Wanyama na Divock Origi: Shauku kubwa kwa Wakenya Liverpool na Tottenham kufuzu fainali ya Champions League

Nyota wawili wa Kenya wanazichezea timu zitakazokutana katika fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya Juni mosi.

 

11 years ago

Michuzi

Heineken Tanzania yawaburudisha wadau wa soka kwa kuonyesha fainali za UEFA champions league pale Golden Tulip hotel

Mashabiki wa Mchezo wa soka nchini wakishangilia ushindi wa timu Timu ya Real Madrid iliyoshinda kwa magoli 4 -1 na kunyakua ubingwa wa UEFA kwa mwaka 2014/15 dhidi ya ndugu zao Atretoco Madrid katika fainali iliyofanyika mjini Lisbon,Ureno.Heineken Tanzania ilichukua nafasi hiyo kwa kuonyesha mechi hiyo kwa lengo la kuwakutanisha mashabiki wa soka hapa nchini,ambapo shughuli hiyo ya kuonyesha mchezo huo ilifanyika kwenye Hoteli ya Golden Tulip hotel,Jijini Dar es Salaam.  Meneja wa...

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

11 years ago

GPL

NACTER INTER –COLLEGE KUANZA NOVEMBA 21

   Afisa masoko wa Miss Demokrasia  Magreth Kilawe akisisitiza jambo.
Wadau na wahusika wa mashindano ya vyo wakisikiliza maswali kutoka kwa waandishi vya habari pichani hawapo.
    Waandishi wa habari wakisililiza.…

 

5 years ago

Goal.Com

UEFA Super League: 2020 Champions League a glimpse into European football's future

UEFA Super League: 2020 Champions League a glimpse into European football's future  Goal.comJamie Carragher feels UEFA will be 'absolutely desperate' for Real Madrid to beat Manchester City  GIVEMESPORTDo away goals count in the Champions League and Europa League knockout stages?  Football.LondonBolt to the Blue Moon: Manchester City, the European ban and the...  The Hard TackleBanned Man City will beat 'hopeless' UEFA & FFP is a nonsense - Neville  Goal.comView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani