RATIBA YA NUSU FAINALI YA EUFA CHAMPIONS LEAGUE HII HAPA
![](http://1.bp.blogspot.com/-uqJRPPEvAfc/VTozKTnGF2I/AAAAAAABMcc/boL5D_Mo7VI/s72-c/11157356_998153500229860_1655272158424215244_o.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;
Everton 2 – 0 Middlesbrough
Manchester City 4 – 1 Hull City
Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday
Southampton 1 – 6 Liverpool
Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq8KHgWC-av516zEvyccPbDZOA8jRPMDkOETOhC*unElGstwRDZe0fh8SVZvtfj3bJ2oIrH2PZFWHYivb5NpnqRU/11069685_970469409666188_101213438240497748_n.jpg?width=750)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BLzcgg0FLxo/VW_fJ2kqpPI/AAAAAAAHb1M/I5b2HPkNTFY/s72-c/unnamedf.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCsZoKnatgqdK9lM5VacUaEPUjseEAmtDZuwPQKWQACOC-PvHwU4uV0XQIV6cJB66Qt2Esii7pW1IROJjc*Bre4T/7.jpg?width=650)
FAINALI YA AIRTEL UNI255 UDSM INTER-COLLEGE CHAMPIONS LEAGUE YAHIMITISHWA
11 years ago
GPL5 years ago
UEFA.Com14 Feb
Champions League Fantasy: Big-money assets | UEFA Champions League
5 years ago
Bongo514 Feb
Man United yasonga nusu fainali Europa League, Samatta hoi njiani
Usiku wa jana (Alhamisi) zilichezwa mechi nne katika viwanja tofauti kwenye kombe la ligi ya Europa. Timu ya Manchester United imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya ligi hiyo baada ya kufanikiwa kuifunga Anderlecht ua Ubelgiji kwa mabao 2-1 na kufanya kufuzu katika hatua hiyo kwa jumla ya magoli 3-2.
Nayo Ajax ya Uholanzi imefuzu katika hatua hiyo japo ilifungwa kwa mabao 3-2 na Schalke 04 ya Ujerumani, lakini katika matokeo ya Jumla yanaifanya timu hiyo kusonga mbele kwa jumla ya...