FALSAFA MBADALA : Tuwachague kwa maneno yao au uwezo wao?-2
Hoja yangu tangu wiki iliyopita ni umuhimu wa kuchagua viongozi wenye uwezo na upeo wa kuona mbali, ili wasaidie kuleta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi badala ya wapiga porojo majukwaani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Dec
FALSAFA MBADALA : Tuwekeze kwa wasomi au wabunifu?
10 years ago
Mwananchi08 Jul
FALSAFA MBADALA: Kipaji chako ni ajira namba moja
11 years ago
Mwananchi24 Jun
FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Singida yawaonya Waganga wa tiba mbadala kutofanya mapenzi na wateja wao wanaowahudimia
Maafisa watendaji wa vijiji,kata,Wenyeviti wa vitongoji pamoja na wenyeviti wa vijiji waliohudhuria kwenye semina elekezi juu ya operesheni tokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi(albini) na vikongwe iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kituo cha walimu Ndago.
Na Jumbe Ismailly, Singida
Waganga wa tiba mbadala wilayani Iramba, Mkoani Singida wameshauriwa kutofanya mapenzi na wateja wao wanaoshindwa kulipa gharama za matibabu waliyowapatia na badala yake wafuate sheria, kanuni na...
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
Wenyeviti wa vijiji watakiwa kufuatilia shughuli zinazofanywa na waganga wa tiba mbadala kwenye maeneo yao
Katibu Mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa (wa kwanza kutoka kulia) akiwasilisha mada mbalimbali kwenye semina elekezi kwa waganga wa tiba mbadala, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na watendaji wa vijiji wa kata ya Kikhonda,tarafa ya Kinyangiri,wilayani Mkalama.
Baadhi ya waganga wa tiba mbadala na viongozi wa serikali za vijiji wa Kata ya Kikhonda wakimsikiliza mtoa mada katika semina elekezi iliyofanyika katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kikhonda.
Polisi kata ya...
11 years ago
Mwananchi24 Oct
Kuchapa watoto huathiri afya, uwezo wao wa akili
5 years ago
MichuziSACCOS 90 KANDA YA KATI ZAPATIWA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO VIONGOZI WAO
Viongozi wa SACCOS Kanda ya Kati wakishiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini.
Washiriki wa mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja.
Na Ismail Luhamba, Singida
ZAIDI ya SACCOS 90 za Mikoa ya Kanda ya Kati zimepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa viongozi wa SACCOS yatakayosaidia kuharakisha mchakato wa upatikanaji wa leseni za vyama vyao.
Mafunzo hayo yanayofanyika nchi nzima yametolewa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
RC na RAS nchini kujengewa uwezo na kuhuisha uhai wa utekelezaji wa majukumu yao
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akifungua mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Hawa Ghasia akimpongeza Mgeni Rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd na mara baada ya kufungua mkutano wa mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi...