FALSAFA MBADALA : Tuwekeze kwa wasomi au wabunifu?
Kwa wale wanaopenda kusoma historia ya maendeleo ya nchi mbalimbali duniani watagundua kuwa kuna tofauti kubwa kati ya wasomi na wabunifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Sep
FALSAFA MBADALA : Tuwachague kwa maneno yao au uwezo wao?-2
Hoja yangu tangu wiki iliyopita ni umuhimu wa kuchagua viongozi wenye uwezo na upeo wa kuona mbali, ili wasaidie kuleta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi badala ya wapiga porojo majukwaani.
10 years ago
Mwananchi08 Jul
FALSAFA MBADALA: Kipaji chako ni ajira namba moja
TUNU muhimu za mafanikio ambazo Mungu amewekeza ndani ya kila mtu ni vipawa/talanta. Kwa bahati mbaya na pengine kwa kutojua umuhimu wa vipawa, watu wengi hawatilii maanani vipaji walivyonavyo.
11 years ago
Mwananchi24 Jun
FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema
Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Falsafa ya maisha ni janga sugu kwa wazawa
DHANA ya maisha ni pana sana, hadi inaleta ubishani kwa wanaojitahidi kufasiri dhana hiyo. Lakini ukweli ni kwamba kila mmoja hufasiri dhana hiyo kulingana na upeo wa maisha yake katika...
10 years ago
Mwananchi23 Jul
BILIONEA : Hizi ni falsafa za kutajirika kwa ujasiriamali — 5
Mafanikio katika maisha siyo jambo jepesi ambalo linaweza kuja kimiujiza. Mara nyingi ni hatua ambayo inaanzia mbali ikiandamana na mipango, juhudi katika utekelezaji na hata kukabili vikwazo mbalimbali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m0NCZScvqKw/Xomq6HdjZSI/AAAAAAALmEM/UqhpIFEIysMsjnuNt1rHGd-CfiFEztwbwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200402_120310_6.jpg)
IKUNGI YATEMBEA NA FALSAFA YA RAIS JPM KWA ASILIMIA 100
![](https://1.bp.blogspot.com/-m0NCZScvqKw/Xomq6HdjZSI/AAAAAAALmEM/UqhpIFEIysMsjnuNt1rHGd-CfiFEztwbwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_120310_6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Pm66ddBSFtQ/XomHkSdlljI/AAAAAAAAgSg/y9R-6WgSNNIq_rWdrFzBThhkieN717ZyQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200402_112947_8.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi(mwenye miwani) akitoa maelekezo ya namna bora ya kufanya kazi katika kikundi kwa wakikundi cha Jitume Vijana chenye vijana...
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Lipumba: Tuwekeze katika michezo
Ni ndoto kwa Tanzania kufanya vizuri kwenye michezo kitaifa na kimataifa bila kuwekeza kwenye kukuza vipaji vya vijana kama ambavyo zimefanya nchi nyingine duniani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOXK2QH-Nro7-I-PenUacQkkc1I9JlulgNKw4t91qxPDnoqsb6A2v2bu4qkypf5GwE1tX0CwfMs0zdA9j-5Cdfy/stevevee.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: WASANII TUWEKEZE PSPF
Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Stori: mwandishi wetu
MWENYEKITI wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amewataka wasanii wa filamu na muziki nchini kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii wa PSPF ili kujiwekea akiba kuepuka maisha ya shida baada ya kuachana na shughuli wanazozifanya hivi sasa. “Wasanii wengi tunafanya kazi bila kujiwekea akiba kwa...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliofundishwa kwa Kiingereza ni wabunifu zaidi?
LUGHA ni msingi muhimu wa kuchochea maendeleo ya jamii yoyote. Mawasiliano ndiyo chimbuko la maarifa na taarifa. Binadamu anapata maarifa yanayomsaidia kuishi kwa kutumia lugha. Binadamu anapata taarifa na habari muhimu kuhusu jamii yake kutokana na lugha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania