Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Falsafa ya maisha ni janga sugu kwa wazawa

DHANA ya maisha ni pana sana, hadi inaleta ubishani kwa wanaojitahidi kufasiri dhana hiyo. Lakini ukweli ni kwamba kila mmoja hufasiri dhana hiyo kulingana na upeo wa maisha yake katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA : Tuwekeze kwa wasomi au wabunifu?

Kwa wale wanaopenda kusoma historia ya maendeleo ya nchi mbalimbali duniani watagundua kuwa kuna tofauti kubwa kati ya wasomi na wabunifu.

 

10 years ago

Mwananchi

BILIONEA : Hizi ni falsafa za kutajirika kwa ujasiriamali — 5

Mafanikio katika maisha siyo jambo jepesi ambalo linaweza kuja kimiujiza. Mara nyingi ni hatua ambayo inaanzia mbali ikiandamana na mipango, juhudi katika utekelezaji na hata kukabili vikwazo mbalimbali.

 

5 years ago

Michuzi

IKUNGI YATEMBEA NA FALSAFA YA RAIS JPM KWA ASILIMIA 100

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi mwenye miwani akizungumza na akina mama wafanya biashara ya viazi lishe wa Kitongoji cha Kideka kijiji cha Nkunikana kuhusu kuchukua tahadhari ya kujikinga na Corona-Covid 19,Pichaini kulia Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo kushoto Mkurugenzi Mtendaji Justice Kijazi


Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi(mwenye miwani) akitoa maelekezo ya namna bora ya kufanya kazi katika kikundi kwa wakikundi cha Jitume Vijana chenye vijana...

 

9 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA : Tuwachague kwa maneno yao au uwezo wao?-2

Hoja yangu tangu wiki iliyopita ni umuhimu wa kuchagua viongozi wenye uwezo na upeo wa kuona mbali, ili wasaidie kuleta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi badala ya wapiga porojo majukwaani.

 

11 years ago

Dewji Blog

Jerry Silaa aifagilia MeTL GROUP kwa kukuza Uchumi na kuongeza ajira kwa wazawa

DSC_0552

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akiwasili kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere,  barabara ya Kilwa, jijini Dar.

Na Mwandishi wetu

Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa ameipongeza makampuni yaliyochini ya Kundi la METL kwa kuhakikisha ajira kwa watanzania na soko la mali ghafi kwa wakulima wa bidhaa mbalimbali nchini.

Silaa alisema hayo jana wakati alipotembelea banda la...

 

11 years ago

GPL

JERRY SILAA AIFAGILIA METL GROUP KWA KUKUZA UCHUMI NA KUONGEZA AJIRA KWA WAZAWA‏

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akiwasili kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akisaini kitabu cha wageni kwenye ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania, TANTRADE kwenye viwanja vya maonesho ya Sabasaba mara...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TANCOAL yatoa asilimia 80 ya ajira kwa wazawa



NA JANE MIHANJI, SONGEAKAMPUNI ya uchimbaji makaa ya mawe ya TANCOAL, imesema inalipa ushuru na mrabaha kwa serikali wa sh. bilioni mbili na kutoa asilimia 80 ya ajira kwa wazawa. Hayo yalisemwa jana na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka, Tarn Brereton, alipokuwa akitoa maelezo ya maendeleo ya mgodi huo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi. Alisema mbali na mrabaha, kampuni hiyo ambayo inaendeshwa kwa pamoja na Shirika la Maendeleo la Taifa...

 

10 years ago

Vijimambo

ALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA

Aliyekuwa mpenzi wake na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, Faiza Ally amemtupia mzazi mwenzake kuwa hamjali mwanae baada ya kuachana.Faiza alikuwa akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV ambapo alikiri kuwa kuachana na Sugu kunaendelea kumuumiza.
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”“Yaani inauma sana mtu ambaye ulikuwa unamuona...

 

11 years ago

Michuzi

Tovuti yazinduliwa kurahisisha urasimishaji biashara kwa wazawa

 Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, takes participants through a new website- www.fanyabiasharatanzania.com- launch in Dar es Salaam to help local entrepreneurs formalize and grow their businesses.   Dr Ellen Otaru Okoedion Private Sector Development Programme 2013 Team leader from Tanzania, introducing her teammates who also participated in the launch of a new website-www.fanyabiasharatanzania.com- to help local entrepreneurs...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani