TANCOAL yatoa asilimia 80 ya ajira kwa wazawa
NA JANE MIHANJI, SONGEAKAMPUNI ya uchimbaji makaa ya mawe ya TANCOAL, imesema inalipa ushuru na mrabaha kwa serikali wa sh. bilioni mbili na kutoa asilimia 80 ya ajira kwa wazawa. Hayo yalisemwa jana na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka, Tarn Brereton, alipokuwa akitoa maelezo ya maendeleo ya mgodi huo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi. Alisema mbali na mrabaha, kampuni hiyo ambayo inaendeshwa kwa pamoja na Shirika la Maendeleo la Taifa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Jerry Silaa aifagilia MeTL GROUP kwa kukuza Uchumi na kuongeza ajira kwa wazawa
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akiwasili kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.
Na Mwandishi wetu
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa ameipongeza makampuni yaliyochini ya Kundi la METL kwa kuhakikisha ajira kwa watanzania na soko la mali ghafi kwa wakulima wa bidhaa mbalimbali nchini.
Silaa alisema hayo jana wakati alipotembelea banda la...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0552.jpg)
JERRY SILAA AIFAGILIA METL GROUP KWA KUKUZA UCHUMI NA KUONGEZA AJIRA KWA WAZAWA
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Marubani wazawa na kilio cha ajira
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8NlSbC9BRy4/VlbjIr7XQxI/AAAAAAADC0g/6l1vJJ4YGIc/s72-c/IMG_5863.jpg)
BARCLAYS YATOA HUNDI YA ASILIMIA 100 KWA MTEJA KUPITISHA MSHAHARA KATIKA BENKI HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8NlSbC9BRy4/VlbjIr7XQxI/AAAAAAADC0g/6l1vJJ4YGIc/s640/IMG_5863.jpg)
Meneja wa kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja wa Benki ya Barclays,Valence Ruteganya akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni ya wateja kupata asilimia 100 ya mshahara kwa kupita katika akaunti ya benki ya Baclays katika hafla ya kumkabidhi mteja aliyepitisha mshahara wake na kupata asilimia 10 iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam,kushoto Meneja wa Kanda ya Namba Moja,Kitumari Massawe kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja,Oscar Mwamfwagasi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-d1ibrNxogEE/VlbjKm0WsOI/AAAAAAADC0o/7P0tsIBle6s/s640/IMG_5878.jpg)
Meneja wa...
10 years ago
Vijimambo26 Sep
NSSF yatoa semina kwa maofisa ajira na fedha Dar
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2014%2F09%2FIMG_0086.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2014%2F09%2FIMG_0100.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2014%2F09%2FIMG_0246.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2014%2F09%2FIMG_02261.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Benki ya Barclays yatoa somo la ajira kwa wanafunzi wa UDBS
Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Anna Chacha (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za ajira ndani ya benki hiyo na pia nini wafanye ili kuweza kumudu ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta za kibenki.
![02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/029.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini
Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bw. Ridhiwan Wema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.
Frank-Mvungi-Maelezo
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waansishi wa habari.
Makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Brightermonday Tanzania yatoa fursa kwa wanaotafuta ajira kuwatembelea kwenye maonyesho ya Sabasaba
Meneja Masoko wa kampuni ya Brightermonday Tanzania, Lugendo Khalfan ndani ya hema la banda la Jakaya Kikwete akiwa tayari kukuhudumia wewe mtanzania utakayetembelea banda lao katika viwanja vya maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, yanayoendelea kurindima kwenye viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.( Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Na Modewjiblog team
Watafuta ajira kote nchini Tanzania wamehamasishwa kujisajili na tovuti ya Brighter monday ili...