Lipumba: Tuwekeze katika michezo
Ni ndoto kwa Tanzania kufanya vizuri kwenye michezo kitaifa na kimataifa bila kuwekeza kwenye kukuza vipaji vya vijana kama ambavyo zimefanya nchi nyingine duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aVL1mPhjh-I/VCVJa5m60pI/AAAAAAAGl6s/bzC0ELLd-8k/s1600/TF1.jpg)
TIMU YA MICHEZO YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO YA HASWA KUWA MFANO KATIKA MASHINDANO YA SHIMIWI
Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasirimali Watu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Titus Mkapa akimkaribisha Mwenyekiti wa timu ya Wizara HUM Sports Club (hayupo pichani) ili atoa salama za wachezaji kwa mgeni rasmi wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wachezaji wa timu hiyo leo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (HUM Sports Club) Dkt. Margareth Mtaki...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s72-c/TF3.jpg)
Timu ya Michezo ya Wizara ya Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo ya haswa kuwa mfano katika mashindano ya SHIMIWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s1600/TF3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fimSY98DOpk/VCVJfbNVZRI/AAAAAAAGl68/ylNfyX7xV8w/s1600/TF4a.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow
![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MsQsA4MGUH4/U81CPq1azgI/AAAAAAAF4Zs/Ez3Ku5uJzjo/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q9fCvirgHPg/U81CR6aWs3I/AAAAAAAF4Z0/TR6-ys7TT3Y/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOXK2QH-Nro7-I-PenUacQkkc1I9JlulgNKw4t91qxPDnoqsb6A2v2bu4qkypf5GwE1tX0CwfMs0zdA9j-5Cdfy/stevevee.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: WASANII TUWEKEZE PSPF
Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Stori: mwandishi wetu
MWENYEKITI wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amewataka wasanii wa filamu na muziki nchini kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii wa PSPF ili kujiwekea akiba kuepuka maisha ya shida baada ya kuachana na shughuli wanazozifanya hivi sasa. “Wasanii wengi tunafanya kazi bila kujiwekea akiba kwa...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
FALSAFA MBADALA : Tuwekeze kwa wasomi au wabunifu?
Kwa wale wanaopenda kusoma historia ya maendeleo ya nchi mbalimbali duniani watagundua kuwa kuna tofauti kubwa kati ya wasomi na wabunifu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6lcc2DvTYAY/XtPJ1nKNBoI/AAAAAAALsJw/5JtbI_Ha3YwBuVCeMIGjDbgVnmP5gbdNgCLcBGAsYHQ/s72-c/5-10-2048x1236.jpg)
TUWEKEZE KWENYE VIWANDA VINAVYOTUMIA MALIGHAFI ZA NDANI-PROF. SHEMDOE
![](https://1.bp.blogspot.com/-6lcc2DvTYAY/XtPJ1nKNBoI/AAAAAAALsJw/5JtbI_Ha3YwBuVCeMIGjDbgVnmP5gbdNgCLcBGAsYHQ/s640/5-10-2048x1236.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1-34-scaled.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe wa kwanza (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Kiwanda kuzalisha mafuta ya kupikia cha Bugili Investment Bw. Nkuba Bugili wa kwanza (kushoto) alipofanya ziara katika kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Bariadi Mkoa wa Simiyu. {Picha na Wizara ya Viwanda na Biashara} .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-25-scaled.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe...
10 years ago
VijimamboPICHA: IBRAHIMU LIPUMBA AJIUZULU UENYEKITI KATIKA CHAMA CHA CUF LEO
Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha CUF taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba akizungumza ngumza na waandishi wa habari kuhusiana na kung'atua rasmi umwenyekiti wa chama hicho na kuendelea kuwa mwanachama wakawaida wa chama hicho ikiwa atakuwa mwanachama halali kwani kadi yake ya uanachama ameshailipia mpaka mwaka 2020 hayo ameyasema katika ukumbi wa mikutano wa Peacock hoteli jijini Dar es Salaam leo.
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Lowassa ataka tija katika michezo
Mwenyekiti Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward Lowassa amesema juhudi anazofanya Rais Jakaya Kikwete katika kuinua sekta ya michezo nchini bado mafanikio yake hayaridhishi.
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Ushirikina usipewe nafasi katika michezo
MOJA ya habari zilizogonga vichwa vya habari hasa katika kurasa za michezo mwanzoni mwa wiki hii ni madai ya mchezaji mmoja wa Mgambo JKT ya Tanga, kukutwa na kitu kinachodhaniwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania