Waliofundishwa kwa Kiingereza ni wabunifu zaidi?
LUGHA ni msingi muhimu wa kuchochea maendeleo ya jamii yoyote. Mawasiliano ndiyo chimbuko la maarifa na taarifa. Binadamu anapata maarifa yanayomsaidia kuishi kwa kutumia lugha. Binadamu anapata taarifa na habari muhimu kuhusu jamii yake kutokana na lugha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g2CREGAJnrM/XmEEUbQOqdI/AAAAAAALhTs/PYgQsbH9lzM-rof9OIduiKC7WDApKq1kwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-05%2Bat%2B3.42.49%2BPM.jpeg)
ZAIDI ya wabunifu 700 nchini wamepata ajira za moja kwa moja
![](https://1.bp.blogspot.com/-g2CREGAJnrM/XmEEUbQOqdI/AAAAAAALhTs/PYgQsbH9lzM-rof9OIduiKC7WDApKq1kwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-05%2Bat%2B3.42.49%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Xu_LBBZpOQ/XmEEUa3aMlI/AAAAAAALhTw/_MGDXvdC0MooD24LiwBXlNNry-B0N0HQwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-05%2Bat%2B3.50.35%2BPM.jpeg)
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Kwa nini tusimangwe tusiojua Kiingereza?
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
RC Singida akataza warsha kuendeshwa kwa kiingereza
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye ufunguaji wa warsha ya wadau kujadili rasimu ya mwisho ya taarifa ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji wa bodi ya maji ya bonde la kati, liyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aquar Vitae hotel mjini Singida.
Na Abby Nkungu, Singida
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone alilazimika kumtaka mshereheshaji katika Warsha ya Wadau wa Rasimu ya Mpango wa Usimamizi na Uendelezaji wa pamoja wa...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
UCHAMBUZI: Kwa nini tusimangwe tusiojua Kiingereza?
9 years ago
Bongo Movies16 Oct
Jokate: Lugha ya kiingereza tatizo kwa wanafunzi
Miss Tanzania namba mbili 2006 na mmiliki wa kampuni ya ‘Kidoti’, Jokate Mwegelo aka Jojo, siku chache zilizopita alifanya ziara yake katika shule za secondari jiijini Dar es Salaam kama Jangwani, Azania, Benjamini Mkapa nk na kupokelewa vizuri na Waalimu pamoja na Wanafunzi. Je ziara yako ilifanikiwa kwa kiasi gani na changamoto ipi umeiona kwa wanafunzi?
“Ukweli ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana na Wanafunzi wanapenda sana mziki, huu ni mwanzo tu itakuwa na muendelezo wa kufanya ziara...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Tusiwahukumu wahitimu wetu kwa kutojua Kiingereza
11 years ago
Habarileo27 Jan
Shule za msingi serikalini masomo yote kwa Kiingereza
WAKATI kukiwa na mjadala kuhusu lugha ipi itumike kufundishia katika shule za msingi za Serikali, kati ya Kiingereza na Kiswahili, tayari baadhi ya shule hizo zimeshaanza kuacha kutumia Kiswahili kufundisha masomo yote na zingine zinajiandaa kufanya hivyo. Kwa muda mrefu tangu Uhuru, shule karibu zote za msingi za Serikali zilikuwa zikitumia Kiswahili kufundishia masomo yote isipokuwa somo la Kiingereza.
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake