Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia Sumbawanga yazua kioja kortini mahakamani s’wanga

Mahakama ya Mwanzo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa jana iligeuka uwanja wa mapambano kati ya Polisi wa Kituo Kikuu na familia ya Mzee Anastazio Sikombe (62) baada ya familia hiyo kuanza kuwashambulia polisi waliokuwa wakitaka kuwakamatwa kwa tuhuma za kuingia na kulima katika shamba la mtu mwingine kinyume na sheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

IPTL yazua Kizaazaa Mahakamani

Kampuni za Pan Africa Power Solution Tanzania Limited (PAP) na Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), zimewasilisha maombi ya kutaka Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA) akamatwe kwa kukiuka amri ya Bodi ya Rufaa za Kodi (TRAB) kwa kufuta Hati za Malipo ya Kodi za Mauzo ya Hisa (Capital Gain Certificate).

 

11 years ago

GPL

FAMILIA YA MWINYI YAZUA TAFRANI

Stori: SHAKOOR JONGO
FAMILIA ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi juzikati ilizua tafrani mtaani kufuatia mzozo mkubwa wa nyumba kati ya mjukuu wa Mzee Mwinyi, Abdi Hassan Mwinyi na anayedai ni mmiliki wa kurithi, Edward Francis Bogwe. Hii ndo nyumba yenyewe juzikati ilizua tafrani mtaani kufuatia mzozo mkubwa wa nyumba kati ya mjukuu wa Mzee Mwinyi, Abdi Hassan Mwinyi na anayedai ni mmiliki wa kurithi,...

 

11 years ago

Habarileo

Familia ya marehemu yapagawa mtuhumiwa kutofikishwa kortini

FAMILIA ya marehemu Chacha Silas (59), mkazi wa kitongoji cha Bumangi, kijiji cha Wegero, wilaya ya Butiama, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha jeshi la polisi wilayani humo, kutomfikisha mahakamani mtuhumiwa wa mauaji ya ndugu yao kwa kutumia rungu, wakiwa kwa mwanamke waliyekuwa wanamchukua kimapenzi wote wawili.

 

11 years ago

GPL

KIOJA CHA KUFUNGA MWAKA: JAMAA APANDA JUU YA MNARA, AKATAA KUSHUKA MPAKA AONANE NA RAIS KIKWETE

Wanausalama wakipanda juu ya mnara kumnusuru jamaa huyo.…

 

9 years ago

Habarileo

Madiwani S’wanga wapewa meno

MADIWANI wapya wa Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa wametakiwa kuwa na utaratibu wa kuandaa na kusoma taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyopo katika zao katika vikao vya Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo.

 

11 years ago

Daily News

S'wanga traders stick to their guns on EFD use


S'wanga traders stick to their guns on EFD use
Daily News
THE closure of businesses in Sumbawanga municipality, Rukwa Region, in protest at the compulsory use of electronic fiscal devices (EFDs) on Thursday entered its second day . They called on the government to suspend use of the gadgets despite the ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Man Utd wang’aa EPL

Arsenal wamefungua mwanya kileleni EPL baada ya kuandikisha ushindi dhidi ya Newcastle, Manchester United nao wakipanda kwa ushindi dhidi ya Swansea City.

 

10 years ago

Daily News

Storms render 20 S'wanga families homeless


Storms render 20 S'wanga families homeless
Daily News
OVER 20 families have been rendered homeless following heavy rains accompanied by strong winds that pounded Katumba-Azimio in Sumbawanga Municipality, Rukwa Region, for two hours on Monday. Also, four people are reported to have sustained ...

 

11 years ago

IPPmedia

S`wanga grapples with street children problem


S`wanga grapples with street children problem
IPPmedia
There are at least 6,872 street children living in pathetic conditions in Sumbawanga, a recent survey by Sumbawanga Municipal council, a figure that has been growing steadily in the last two decades. The survey in which NGOs, private and public institutions ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani