Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani S’wanga wapewa meno

MADIWANI wapya wa Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa wametakiwa kuwa na utaratibu wa kuandaa na kusoma taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyopo katika zao katika vikao vya Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya  vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es salaam
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akikagua gari linalotuhumiwa kutumika.…

 

11 years ago

Michuzi

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum limefanikiwa kukamata vipande zaidi ya ishirini (20) vinavyodhaniwa kuwa ni meno ya Tembo vilivyokuwa vimehifadhiwa nadni ya mfuko maarufu kwa jina la kiroba. Tukio hili lilitokea tarehe 30/04/2014 katika kiwanda cha Nondo Steel Master kilichopo eneo la Mbozi Road (W) kipolisi Chang’ombe (M) kipolisi Temeke baada ya Polisi kupokea taarifa kuwa katika kiwanda hicho kuna mfuko wa kiroba wenye bidhaa hiyo umefichwa. Baada ya taarifa hizo askari kikosi cha Upelelezi...

 

10 years ago

Mwananchi

Vichokoa meno vizuri ila vyaweza kukuathiri fizi, meno

Matumizi ya vijiti vya kuchokoa meno maarufu kama ‘toothpick’ ni namna nyepesi zaidi ya kuondoa mabaki ya nyama, mboga za majani au matunda yaliyonasa katika meno badala ya kufanya hivyo kwa kidole ama kitu kingine.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Man Utd wang’aa EPL

Arsenal wamefungua mwanya kileleni EPL baada ya kuandikisha ushindi dhidi ya Newcastle, Manchester United nao wakipanda kwa ushindi dhidi ya Swansea City.

 

10 years ago

Daily News

Storms render 20 S'wanga families homeless


Storms render 20 S'wanga families homeless
Daily News
OVER 20 families have been rendered homeless following heavy rains accompanied by strong winds that pounded Katumba-Azimio in Sumbawanga Municipality, Rukwa Region, for two hours on Monday. Also, four people are reported to have sustained ...

 

11 years ago

Daily News

S'wanga traders stick to their guns on EFD use


S'wanga traders stick to their guns on EFD use
Daily News
THE closure of businesses in Sumbawanga municipality, Rukwa Region, in protest at the compulsory use of electronic fiscal devices (EFDs) on Thursday entered its second day . They called on the government to suspend use of the gadgets despite the ...

 

11 years ago

IPPmedia

S`wanga grapples with street children problem


S`wanga grapples with street children problem
IPPmedia
There are at least 6,872 street children living in pathetic conditions in Sumbawanga, a recent survey by Sumbawanga Municipal council, a figure that has been growing steadily in the last two decades. The survey in which NGOs, private and public institutions ...

 

11 years ago

GPL

Ngassa, Okwi waingia wanga za Mzungu Yanga

KOCHA Mkuu mpya wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Mwandishi Wetu KOCHA Mkuu mpya wa Yanga, Hans van Der Pluijm, raia wa Uholanzi, amesema anataka soka la kasi huku kikosi chake kikicheza kwa ushirikiano katika kushambulia na kukaba.…

 

9 years ago

Mwananchi

Beckham, mwanaye wang’ara mechi ya uchangiaji England

David Beckham na mtoto wake Brooklyn wamecheza pamoja katika timu nyota Uingereza na Ireland XI dhidi ya timu ya Nyota wengine wa Dunia na kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 kwenye mchezo wa uchangishaji fedha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani