FARYD MONDRAGON: ‘Babu’ anayekwenda Brazil kuzuia mashuti BRAZUCA
SOKA limeweza kushuhudia wachezaji waliokuwa wakicheza na umri wao ukiwa zaidi ya miaka 40 kama Van de Sar, Oliver Khan, Buffon na kinachofurahisha zaidi wengi wao ni makipa. Katika fainali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75811000/jpg/_75811790_mondragon_getty.jpg)
Mondragon, 43, breaks Milla age record
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PGM0658IBWM/U54k0YE5qXI/AAAAAAAFq7k/8fNzm4OujlM/s72-c/77589580.jpg)
JE WAJUA MAANA HALISI YA NENO BRAZUCA?
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGM0658IBWM/U54k0YE5qXI/AAAAAAAFq7k/8fNzm4OujlM/s1600/77589580.jpg)
Na Sultani Kipingo
"BRAZUCA"
ni neno jipya lililo midomoni pa wengi ulimwenguni hivi sasa, japo si watu wote wanaojua maana yake. Subiri nikupashe. "Brazuca" si kitu kingine bali ni jina la mpira unaotumika katika michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea chini Brazil hivi sasa.Neno hilo lina maana mbili. Ya kwanza ni neno la nchi hiyo kwa wa-Brazil wanaoishi nje ya nchi – yaani Diaspora. Maana ingine, neno hilo lina maana ya kujivunia, kuufurahia na kutambia u-Brazil kwa watu wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Baada ya Brazuca, macho ni usajili Ulaya
FAINALI za Kombe la Dunia zimefikia tamati jana usiku katika Uga wa Maracana Jijini Rio de Janeiro nchini Brazil na mshindi wa fainali hizo kupatikana kila mtu akisema lake kutokana...
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Wapinzani wamuone Kinana kama Okwi anayepiga mashuti
9 years ago
Vijimambo10 Sep
MWIGULU NCHEMBA AZIDI KUCHANJA MBUGA MIKOANI KUIPIGANIA CCM,HAPA AKIMNADI NJALU ANAYEKWENDA KUMNG'OA MZEE CHEYO
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11012504_424986587703575_2255447606500340488_n.jpg?oh=c56cd1e766147a6ffe2310bad8b688d1&oe=56619875&__gda__=1449904415_3c5d7532e91904c08ee51411b7d9807a)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11180329_424986884370212_524845765637406350_n.jpg?oh=b02d84ec9aa51eedc91e7930b21c8ce1&oe=5674ECA3)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/12011200_879674105419748_2493844376411494790_n.jpg?oh=2f7e77f3833aa634fd2e69b112452fab&oe=56654509&__gda__=1450175807_ced5c9b9faf0adc53736f06416a08be9)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/12009736_424987584370142_6224858859792391506_n.jpg?oh=af0ba2eb65e18f1aa1f87f5836bd0e5e&oe=56785950&__gda__=1449875176_a899621ec19d15d2184bbc660e9bebfd)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-9/11990460_424986687703565_3066477649522458725_n.jpg?oh=2f079d17d9b89eda23727440b9b140c0&oe=5677ADFE&__gda__=1450746618_6cea918bccfd5a27bf26dd51b1e42816)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/11917489_879674412086384_3679220236313068356_n.jpg?oh=1bb876e7b01850c6c6214329caaed6c4&oe=56A5462D)
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Hadi June 2011, hii ndio ilikuwa list ya wanasoka wenye uwezo wa kupiga mashuti duniani (+Video)
Imekuwa ni kawaida kukumbushana vitu mbalimbali vinayohusu soka mtu wangu wa nguvu na leo December 22, nimeona sio vibaya nikikusogezea list ya mastaa wa soka waliotamba na ambao bado wanatamba kwa kupiga mashuti makali golini mwa timu pinzani. Hii ndio list ya mastaa watano wa soka wanaongoza kwa kupiga mashuti golini. Roberto Carlos hakuna ambaye hamfahamu huyu […]
The post Hadi June 2011, hii ndio ilikuwa list ya wanasoka wenye uwezo wa kupiga mashuti duniani (+Video) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kama hujawahi kuiona, hii ndio video ya magoli ya mashuti ya mbali yaliowahi kufungwa katika Ligi Kuu Uingereza
Mtu wangu wa nguvu najua ni nadra sana kuona mchezaji soka akifunga goli kwa shuti la mbali, hili ni tukio ambalo hutokea katika mechi mara chache, magoli ya mashuti ya mbali huwa ni moja kati ya kivutio kizuri katika soka, hii inatokana na magoli hayo ufungwa mara chache uwanjani. Huenda ukwa ujawahi kuona hii list […]
The post Kama hujawahi kuiona, hii ndio video ya magoli ya mashuti ya mbali yaliowahi kufungwa katika Ligi Kuu Uingereza appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
TheCitizen28 Jun
BRAZIL 2014: Brazil face Chile as Suarez-less Uruguay confront Colombia
11 years ago
Mwananchi09 Jul
BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil