JE WAJUA MAANA HALISI YA NENO BRAZUCA?
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGM0658IBWM/U54k0YE5qXI/AAAAAAAFq7k/8fNzm4OujlM/s72-c/77589580.jpg)
Na Sultani Kipingo
"BRAZUCA"
ni neno jipya lililo midomoni pa wengi ulimwenguni hivi sasa, japo si watu wote wanaojua maana yake. Subiri nikupashe. "Brazuca" si kitu kingine bali ni jina la mpira unaotumika katika michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea chini Brazil hivi sasa.Neno hilo lina maana mbili. Ya kwanza ni neno la nchi hiyo kwa wa-Brazil wanaoishi nje ya nchi – yaani Diaspora. Maana ingine, neno hilo lina maana ya kujivunia, kuufurahia na kutambia u-Brazil kwa watu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IYNVEV2uFEc/XkmP_5n8JcI/AAAAAAALdpA/MxWior1ipc48Of3YJVUFwQfmBIce67YiQCLcBGAsYHQ/s72-c/8c8988d3-f21d-49b4-a7de-16e42f87d4de.jpg)
HII NDIO MAANA HALISI YA "SISI NI TANZANIA MPYA"
![](https://1.bp.blogspot.com/-IYNVEV2uFEc/XkmP_5n8JcI/AAAAAAALdpA/MxWior1ipc48Of3YJVUFwQfmBIce67YiQCLcBGAsYHQ/s640/8c8988d3-f21d-49b4-a7de-16e42f87d4de.jpg)
1. Tanzania Leo hii ni nchi ya 7 kwa uwekezaji Afrika.
2. Tanzania ya Leo imepanda kwa nafasi 13 katika Mwaka 2016 na Mwaka 2017 na pia ikishika nafasi ya pili kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.
3. Tanzania ya Leo uchumi umekuwa hadi kufikia asilimia 7.2 toka asilimia 5.1 ya hapo awali.
4. Tanzania ya Leo Elimu kuanzia ya Msingi hadi ya Sekondari ni bure. Hapa adui ujinga anapigwa Vita kwa vitendo.
5. Tanzania ya Leo ina miliki ndege zake takribani...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Baada ya Brazuca, macho ni usajili Ulaya
FAINALI za Kombe la Dunia zimefikia tamati jana usiku katika Uga wa Maracana Jijini Rio de Janeiro nchini Brazil na mshindi wa fainali hizo kupatikana kila mtu akisema lake kutokana...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s72-c/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s400/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
FARYD MONDRAGON: ‘Babu’ anayekwenda Brazil kuzuia mashuti BRAZUCA
SOKA limeweza kushuhudia wachezaji waliokuwa wakicheza na umri wao ukiwa zaidi ya miaka 40 kama Van de Sar, Oliver Khan, Buffon na kinachofurahisha zaidi wengi wao ni makipa. Katika fainali...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PNwsBPtDJoc/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Maisha halisi ya Jaydee - 4
 Kwa wiki nzima mfululizo, lejendi huyu ameweza kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu muziki wake, kolabo za ndani na nje ya nchi, maisha yake halisi, bendi anayomiliki, vitu anavyovipenda na mambo yake asiyopenda kujishughulisha nayo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bwNIMx9x2XI/VJixnofLzxI/AAAAAAAG5L4/e-w666WzG_g/s72-c/Picha-na-8%2B(1).jpg)
JE WAJUA ASILI YA SALUTI YA ASKARI?
![](http://3.bp.blogspot.com/-bwNIMx9x2XI/VJixnofLzxI/AAAAAAAG5L4/e-w666WzG_g/s1600/Picha-na-8%2B(1).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania