Je wajua?
![](http://img.youtube.com/vi/PNwsBPtDJoc/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-wfkczx8Q6E0/U328MCKca_I/AAAAAAAAAio/rXocvruFyYE/s72-c/KILEO+BLOG+-+2.jpg)
JE WAJUA? : KESHO YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-wfkczx8Q6E0/U328MCKca_I/AAAAAAAAAio/rXocvruFyYE/s1600/KILEO+BLOG+-+2.jpg)
Mijadala, maazimio mbali mbali pamoja na kupitishwa maamuzi yakua mwaka huu wa 2014 kua mwaka wa vitendo kukabiliana na uhalifu vimeenda sambamba na ukuwaji wa kasi wa uhalifu mtandao hivi...
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Je wajua siri ya Mamba usingizini?
Wataalamu wa masuala ya wanyama wamegundua kwamba, mamba ana uwezo wa kulala huku jicho lake moja likiwa wazi.
9 years ago
Mwananchi20 Dec
MAISHA: Je, wajua utapataje mafanikio?
Ili kufanikikiwa katika maisha vipo vitu au hatua ambazo huwa zinatulazimu kuzijua na kuzipitia kama kweli tunamaanisha na tunayadhamiria hayo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bwNIMx9x2XI/VJixnofLzxI/AAAAAAAG5L4/e-w666WzG_g/s72-c/Picha-na-8%2B(1).jpg)
JE WAJUA ASILI YA SALUTI YA ASKARI?
![](http://3.bp.blogspot.com/-bwNIMx9x2XI/VJixnofLzxI/AAAAAAAG5L4/e-w666WzG_g/s1600/Picha-na-8%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VYWxOiV9j10/VJXOy_qY8TI/AAAAAAAG4yA/Ka8BPuboqVA/s72-c/download.jpg)
je wajua asili ya jina Afrika?
![](http://1.bp.blogspot.com/-VYWxOiV9j10/VJXOy_qY8TI/AAAAAAAG4yA/Ka8BPuboqVA/s1600/download.jpg)
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Je,wajua kuna waombolezaji wa kulipwa ?
Shughuli katika mji wa Kisumu,huvurugika kwa sababu mamia ya waendesha pikipiki huzuia barabara kutokana na kukodiwa kuomboleza.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lE3kBlvuoak/U9Vg_znpV4I/AAAAAAAF7Gw/BGHvxa8-hHA/s72-c/Ladolce3.jpg)
JE wajua asili ya jina paparazzi?
Na Sultani Kipingo
![](http://1.bp.blogspot.com/-lE3kBlvuoak/U9Vg_znpV4I/AAAAAAAF7Gw/BGHvxa8-hHA/s1600/Ladolce3.jpg)
Hadhithi ya filamu hiyo ya La Dolce Vita inamhusu mwanahabari mchunguzi aliyeitwa Marcello (muigizaji akiwa Marcello Mastroianni) na mpiga picha wake aliyeitwa Paparazzo (muigizaji Walter Santesso). Ingawa...
5 years ago
MichuziJE.WAJUA FAIDA ZA MICHE YA MCHIKICHI.
KIGOMA MA MAFUTA YA MAWESE;
Mafuta ya mawese ama palm oil yana faida nyingi tu kwa ajili ya ngozi yako Yanalainisha ngozi na kuiacha ikiwa na unyevu unyevu
Siku hizi sabuni, shampoo na mafuta mengi yanayotengenezwa viwandani yanakua yanatumiwa mafuta ya mawese kama malighafi ya kutengenezea. Hii ni kwa sababu ya ubora wake na suluhisho katika maswala yanayohusu ngozi.
Yana virutubisho vinavyoweza kuponesha ngozi iliyochomwa na jua na yenye michirizi Kama ilivyo kwa mafuta mengine halisi mafuta...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania