Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je,wajua kuna waombolezaji wa kulipwa ?

Shughuli katika mji wa Kisumu,huvurugika kwa sababu mamia ya waendesha pikipiki huzuia barabara kutokana na kukodiwa kuomboleza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waombolezaji wa Kulipwa Kenya

Kila Alhamisi na Ijumaa,waombolezaji mjini Kisumu, Kenya, huzuzua uma wa mbinu zao za kuwaaga wapendwa wao

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,wajua kufanyakazi usiku kuna athari?

Kumekuwa na utafiti ambao umekuwa ukiendelea kwa miaka kadhaa miongoni mwa watu wanaofanya kazi usiku na jinsi inavyoathiri afya yao vibaya.

 

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

Michuzi

JE.WAJUA FAIDA ZA MICHE YA MCHIKICHI.


KIGOMA MA MAFUTA YA MAWESE;

Mafuta ya mawese ama palm oil yana faida nyingi tu kwa ajili ya ngozi yako Yanalainisha ngozi na kuiacha ikiwa na unyevu unyevu

Siku hizi sabuni, shampoo na mafuta mengi yanayotengenezwa viwandani yanakua yanatumiwa mafuta ya mawese kama malighafi ya kutengenezea. Hii ni kwa sababu ya ubora wake na suluhisho katika maswala yanayohusu ngozi.

Yana virutubisho vinavyoweza kuponesha ngozi iliyochomwa na jua na yenye michirizi Kama ilivyo kwa mafuta mengine halisi mafuta...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,wajua mbu husherehekewa Urusi?

Watu wengi wanawachukia, lakini mbu sasa husherekewa kwa tamasha la kipekee katika mji mmoja huko Urusi.

 

10 years ago

Michuzi

je wajua asili ya jina Afrika?

Na Sultani Kipingo

Inasemekana kila jina lina asili yake na maana pia. Hata hilo jina lako ulipewa kwa sababu, na lina asili yake. Kama si la kutoka katika Biblia ama Quran, basi ni la kimila lenye kumaanisha jambo, kama vile siku, tukio, mahali ama hata shida au raha aliyopata mama wakati wa uzazi wako.

Jiji la Dar es salaam  zamani liliitwa Mzizima. Sultani Seyyid Majid wa Zanzibar ndiye aliyelipa jiji hili jina "Dar es Salaam" linalotokana na lugha ya Kiarabu  (Dār as-Salām) lenye...

 

9 years ago

Mwananchi

MAISHA: Je, wajua utapataje mafanikio?

Ili kufanikikiwa katika maisha vipo vitu au hatua ambazo huwa zinatulazimu kuzijua na kuzipitia kama kweli tunamaanisha na tunayadhamiria hayo.

 

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA ASILI YA SALUTI YA ASKARI?

Na Sultani Kipingo Baada ya siku kadhaa za kupekua kila mahali kwenye vitabu vya historia, nimekuta hakuna ajuaye has asili ya saluti. Ila nimekuta maelezo kwamba katika historia ya askari, mkono wa kuume (ama mkomo wa silaha) ulikuwa ukiinuliwa kama ishara ya salamu za kirafiki. Wanahistoria wanasema huenda hiyo ilikuwa ni ishara ya kuonesha kwamba hauko tayari kutumia silaha na kushambulia. Ila toka enzi hizo, ni askari asiye na cheo ama mwenye cheo kidogo ndiye alikuwa analazimika kutoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani