Je,wajua kufanyakazi usiku kuna athari?
Kumekuwa na utafiti ambao umekuwa ukiendelea kwa miaka kadhaa miongoni mwa watu wanaofanya kazi usiku na jinsi inavyoathiri afya yao vibaya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Je,wajua kuna waombolezaji wa kulipwa ?
9 years ago
Habarileo17 Dec
Acheni kufanyakazi kwa mazoea-Ummy
SERIKALI imewataka watumishi wa sekta ya afya nchini kutofanya kazi kwa mazoea na badala yake kufanya kazi kwa bidii na uadilifu ili kufikia malengo yaliyowekwa. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kurahisisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi kwa kutoa huduma bora na zinazofikiwa kwa wakati.
11 years ago
Habarileo10 May
Mambo ya Ndani washauriwa kufanyakazi kwa weledi
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amewaasa wafanyakazi wa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kufikia malengo waliyojiwekea.
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Chanzo ya malaria kufanyakazi kwa asilimia 100
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEX8wvsDfRo/XlZTSqZL7AI/AAAAAAALfh8/xmjBv_UGSTghnTraYPYV1DxpoTHHsv1XACLcBGAsYHQ/s72-c/Klein_Namutomi_Waterhole%252C_Namibia.jpg)
DAS NAMTUMBO AWATAKA MAAFISA WANYAMAPORI KUFANYAKAZI WALIZOSOMEA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEX8wvsDfRo/XlZTSqZL7AI/AAAAAAALfh8/xmjBv_UGSTghnTraYPYV1DxpoTHHsv1XACLcBGAsYHQ/s640/Klein_Namutomi_Waterhole%252C_Namibia.jpg)
NA YEREMIAS NGERANGERA….NAMTUMBOAKIZUNGUMZA kwenye mkutanao wa uzinduzi wa zoezi la kulipakifuta jasho na machozi kwa wananchi wa kijiji cha Nambecha wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma katibu tawala bwana Aden Nchimbi aliwaagiza maafisa wanyamapori wilayani humo kufanya kazi walizosomea na sio vinginevyo.
Aden alisema serikali inatumia fedha nyingi kulipa kifuta jasho na machozi kwa wananchi walioathirika na wanyama waharibifu kila mwaka huku maafisa wanyamapori akiwaona wakiwa maofisini...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G5k6nnvppHY/U13-6qTwywI/AAAAAAAFdng/ET8k1FsVTU8/s72-c/Saada+Mkuywa+Naibu+Waziri+wa+Fedha.jpg)
Wafanyakazi Wizara ya Fedha waaswa kufanyakazi kwa bidii na kujituma
![](http://4.bp.blogspot.com/-G5k6nnvppHY/U13-6qTwywI/AAAAAAAFdng/ET8k1FsVTU8/s1600/Saada+Mkuywa+Naibu+Waziri+wa+Fedha.jpg)
Wafanyakazi Wizara ya Fedha wameaswa kufanyakazi kwa bidii na kujituma kwa moyo ili kukuza uchumi wa nchi na taifa liweze kusonga mbele na kufikia malengo yake.
Kauli hiyo imetolewa na Mgeni Rasmi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum wakati wa kufungua mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo hivi karibuni jijini Dar es salaam.
“Mnapokuwa kwenye mkutano wenu mjadili bajeti bila kuwa na woga kwa kutumia weledi wenu mlionao na kutoa ushauri...
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!
baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko
Na.Jumbe Ismailly.
[Ikungi-SINGIDA] Mkuu wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...
5 years ago
BBCSwahili29 May
Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya asema hatokubali kufanyakazi na wanaopinga ajenda yake serikalini
11 years ago
GPL